Dark Angel
JF-Expert Member
- Sep 12, 2013
- 212
- 220
Ila kuna Mbunge wa jimbo la Tandahimba Katani A. Katani juzi aliwapa fedha baada ya kuifunga timu ya Mwadui,. Hata ile game ambayo walicheza na Azam baada ya kupata sare aliwapa fedha taslimu Sh.500000/=, na ameahidi kuendelea kutoa Mil 1 kwa kila mechi ambayo watakuwa wanashinda.Asee, hii timu inayumbishwa na watu wachache wapenda sifa na ulaji.
Wakukaya!! Labda wanalambishwa asali kidogo ili walegeze wanapokutana na baadhi ya mechi. Maana wanakuwaga njema sana wakiamua. Chunguza game za Yanga na Azam walivyogangamala.Ila kuna Mbunge wa jimbo la Tandahimba Katani A. Katani juzi aliwapa fedha baada ya kuifunga timu ya Mwadui,. Hata ile game ambayo walicheza na Azam baada ya kupata sare aliwapa fedha taslimu Sh.500000/=, na ameahidi kuendelea kutoa Mil 1 kwa kila mechi ambayo watakuwa wanashinda.
Ndanda timu ya nyumbani ila huwa inaniboa sana namna ya uchezaji wake hasa inapokutana na MIKIA.