@mzalendo very true nakwambia nchi imekua kama yakwao wanajazana hapa kudadadekiii if yu think ni uongo go and visit viwanda vyote vilivyopo nyerere road of which vyote ni vya hao wahindi washapewa bure longtime wamejaa wahindi fun enough angalia work permit zao sasa mara butcher manager,sales expert,operation manager yani ol the way from india kuwa butcher manager hata hapa bongo kunawasomi wangapi wanaoweza kua ma-butcher manager hahahaha........i hate you uhamiaji na wizara ya viwanda na biashara,RUSHWA tu mwanzo mwisho hawa jamaa wanalala 10 kwenye chumba kimoja mama na baba wakitaka kunahii watoto wanaenda kula mihogo coco beach ........