HaMachiach
JF-Expert Member
- Dec 15, 2015
- 3,417
- 6,149
mkipata ajali uje utupe updates mkuu na tupicha ikiwezekana maana nayaona matamanio yako kabisa na utaanza kumshikashika huku aki driveWakuu habari ya usiku natumai mnaendelea kupumu
Niko safari kutoka dar naenda Mby niko kwenye IT dereva ni mdada mrembo afu tuko wawili shida ninayo ipata hapa amevua nguo ya juu amebaki na sindilia tu moyo wangu unaenda kasi spidi ya 4G Mungu nisaidie.
Tutapaki pembeni kwanzamkipata ajali uje utupe updates mkuu na tupicha ikiwezekana maana nayaona matamanio yako kabisa na utaanza kumshikashika huku aki drive
Wakuu habari ya usiku natumai mnaendelea kupumu
Niko safari kutoka dar naenda Mby niko kwenye IT dereva ni mdada mrembo afu tuko wawili shida ninayo ipata hapa amevua nguo ya juu amebaki na sindilia tu moyo wangu unaenda kasi spidi ya 4G Mungu nisaidie.
Asante mkuuSafari njema
Hakuna lolote pale tupo spid 140Oooh kijana ukifika mikumi paki mwondoke asubuhi iyovi sio salama mtaolewa wote wawili
Picha ya nini akisema nataka kumtekaje?Yaani umenikera. Picha iko wapi sasa?
huyu hapa naona jamaa kaamua kumweka pembeni na kushikilka usukani mwenyeweYaani umenikera. Picha iko wapi sasa?
VyoteHuyo mungu akusaidie kumvisha nguo au mfike salama
Sawa mkuuHakuna lolote pale tupo spid 140