Ndani ya miaka 4, kumekuwa na ujenzi wa Hospitali za Wilaya 129, Vituo vya afya 367

Ndani ya miaka 4, kumekuwa na ujenzi wa Hospitali za Wilaya 129, Vituo vya afya 367

Ojuolegbha

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2020
Posts
1,278
Reaction score
797
Miaka Minne ya Rais Samia Suluhu Hassan Tumeona ujenzi wa hospitali za wilaya 129, vituo vya afya 367, majengo 87 ya huduma za dharura, na majengo 30 ya wagonjwa mahututi (ICU) yote yakifanyika chini ya uongozi wako ili kuhakikisha hakuna mtanzania atasumbuliwa kwa kukosa huduma ya afya.

Watanzania wengi wamepata ajira kwenye Afya bila kuwa na watu wa kuwaunganisha huko.

Trilioni 1.29 alizotoa Rais Samia kwenye kada ya afya kupitia TAMISEMI zimesaidia sana kuimarisha miundombinu ya Afya kama ilivyoelekezwa kwenye Ilani ya CCM Ibara ya 83 (d) (f) (g) na (l)

 
Ameshindwa kuzalisha umeme hadi kwenda Ethiopia kunumua.

Punguza uchawa
.
 
Back
Top Bottom