Teknolojia ni Yetu sote
JF-Expert Member
- Apr 28, 2020
- 620
- 1,240
๐ก๐ฑ๐ฎ๐ป๐ถ ๐๐ฎ ๐บ๐ถ๐ฎ๐ธ๐ฎ ๐ฑ ๐ญ๐ถ๐บ๐ฏ๐ฎ๐ฏ๐๐ฒ ๐ถ๐บ๐ฒ๐ณ๐ฎ๐ป๐ถ๐ธ๐ถ๐๐ฎ ๐ธ๐๐ฟ๐๐๐ต๐ฎ ๐๐ฎ๐๐ฒ๐น๐น๐ถ๐๐ฒ ๐ฏ ๐๐ป๐ด๐ฎ๐ป๐ถ
Zimbabwe nchi kutoka Kusini mwa Afrika inaendelea kuonyesha maendeleo yake ya Sekta ya Teknolojia kwa upande wa Mawasiliano ya Anga baada ya kurusha satellite yake mpya ya 3 kwa lengo la kuimarisha usalama wa ardhini.
Mkurugenzi mkuu wa ZINGSA anaitwa Painos Gwene aliweza kuzungumza kuwa miradi ya satellite inashika Kasi ulimwenguni hivyo na sisi kurusha satellite sio kwamba kuonekana Zimbabwe nayo imerusha satellite bali satellite hizi zitumike kushughulikia mahitaji maalum ya Zimbabwe.
Aliweza kutoa mfano kwa kusema kwa Sasa tulikua hatuna uwezo wa kuangalia mambo yanayotendeka kwenye Dunia Yetu ndani ya wakati kwa kutupa update mpya za picha kupitia satellite Kila baada masaa 5 mpaka 6hrs lakini kupitia satellite ya zimSat - 3 tutaweza kufuatilia mambo mengi ndani ya muda mfupi.
Kuanzia ufuatiliaji wa mavuno ya mazao, ufuatiliaji wa mmomonyoko wa Udongo na kutathimini mabadiliko ya mazingira. Kwa sasa satellite zilizopo Nchini Zimbabwe zinafuatilia hali ya ukame , ramani ya uchimbaji wa madini, na shughuli zinginezo kwa urahisi.
Serikali ya Zimbabwe kupitia Shirika la kitaifa la Geospatial na Anga za Zimbabwe (ZINGSA) inaona juhudi za kuweka satellite ni kwenye kusaidia kulinda nchi na kufuatilia maendeleo ya nchi pamoja na majanga ya Asili kwa urahisi.
Zimbabwe nchi kutoka Kusini mwa Afrika inaendelea kuonyesha maendeleo yake ya Sekta ya Teknolojia kwa upande wa Mawasiliano ya Anga baada ya kurusha satellite yake mpya ya 3 kwa lengo la kuimarisha usalama wa ardhini.
Mkurugenzi mkuu wa ZINGSA anaitwa Painos Gwene aliweza kuzungumza kuwa miradi ya satellite inashika Kasi ulimwenguni hivyo na sisi kurusha satellite sio kwamba kuonekana Zimbabwe nayo imerusha satellite bali satellite hizi zitumike kushughulikia mahitaji maalum ya Zimbabwe.
Aliweza kutoa mfano kwa kusema kwa Sasa tulikua hatuna uwezo wa kuangalia mambo yanayotendeka kwenye Dunia Yetu ndani ya wakati kwa kutupa update mpya za picha kupitia satellite Kila baada masaa 5 mpaka 6hrs lakini kupitia satellite ya zimSat - 3 tutaweza kufuatilia mambo mengi ndani ya muda mfupi.
Kuanzia ufuatiliaji wa mavuno ya mazao, ufuatiliaji wa mmomonyoko wa Udongo na kutathimini mabadiliko ya mazingira. Kwa sasa satellite zilizopo Nchini Zimbabwe zinafuatilia hali ya ukame , ramani ya uchimbaji wa madini, na shughuli zinginezo kwa urahisi.
Serikali ya Zimbabwe kupitia Shirika la kitaifa la Geospatial na Anga za Zimbabwe (ZINGSA) inaona juhudi za kuweka satellite ni kwenye kusaidia kulinda nchi na kufuatilia maendeleo ya nchi pamoja na majanga ya Asili kwa urahisi.