Ndani ya ndoa ni ndoano

Goodluck TZ

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2015
Posts
1,448
Reaction score
661
ndan ya ndoa hii kulikuwa na kutokuelewana mwanamke akawa ananong'ona hv:
***
mwanamke: yaan bora kuolewa na shetan kuliko huyu bwana
mume: DINNI zimeshakataza mtu kuolewa na ndugu yake
______
 
Nlivyoelewa,huyu mama kwa kero za nyumba yake,akasema Ni bora angeolewa na shetani,huyo mume akamjibu hairuhusiwi mtu kuolewa na nduguye akimaanisha yule mama na shetani wana undugu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…