Karibu sana missed u mno mama kubwa sasa naona jukwaa litachangamka lol
Maty Mamy kuna kumbukumbu uliiacha pale kwangu kila nikiiona nakukumbuka sana ma dear
mi ni mgeni kidogo
Will back...to welcome u back....Mama B!
Hahahaaaaaaaa hivi bado ipo eeee itunze tunze tu mama big nitakuja kukudai siku moja ujue lol
We unajua darasa linatakiwa kuendelea waja lini sasa