empisi yaija
New Member
- Aug 7, 2014
- 2
- 1
Ndugu zangu wana JF,
Napenda kuwasalimu katika jina la aliye mkuu kuliko wote ambaye ndo aliyeumba ulimwengu huu.
Leo nafurahi kuutangazia umma kuwa sasa na mimi niko JF tayari kuchangia mijadala mbali mbali yenye tija na kujenga taifa bila kusahau habari za kufurahishana katika kuyafanya maisha yetu yawe ya kutabasamu.
Ni matarajio kuwa ntakaribishwa na kupata marafiki wengi zaidi.
Napenda kuwasalimu katika jina la aliye mkuu kuliko wote ambaye ndo aliyeumba ulimwengu huu.
Leo nafurahi kuutangazia umma kuwa sasa na mimi niko JF tayari kuchangia mijadala mbali mbali yenye tija na kujenga taifa bila kusahau habari za kufurahishana katika kuyafanya maisha yetu yawe ya kutabasamu.
Ni matarajio kuwa ntakaribishwa na kupata marafiki wengi zaidi.