Clark boots
JF-Expert Member
- Jun 5, 2017
- 6,770
- 6,202
zimepatwa na vinasabaHabari za wakati huu wapendwa..
Direct to the point..
Me ni kijana rijali kabisa nisiyezidi miaka 25..
So naweza kusema kuwa nimejaaliwa na Mwenyezimungu kuwa na nywele nyingi hasa kichwani na kidevuni pia..
Sina asili ya nywele nyekundu/mpunga, Nina nywele nyeusi sana hasa kichwani (ID inajiekeza)
Ila tatizo kubwa ni hvi sasa nashangaa kuona kiasi cha ndevu zangu zinabadilika na kuwa brown colour..
So nauliza hapa hii kitu huwa inasababishwa na nn wakuu..?
% UZI TAYARI %
Vinasaba vya nn mkuu
Jalibisha kupakaa mafuta ya nazi na aloe velaHata sipaniki ila majibu mengine yanakuwa sio poa
cheki mboga na matunda piaJalibisha kupakaa mafuta ya nazi na aloe vela
Ok.. Pamoja kiongozicheki mboga na matunda pia
basi go make dye !! tiya hina nyeusii!!Hapana kitu kama icho mkuu..