Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wadau naombeni jibu hapo kwa anaefahamu lkn lipo na swali la nyongeza ambalo ni je,sauti inaweza kusikika kwenye vacum/mahala tupu..?
karibuni..
Hivi mkuu kuna vacuum dunianiMkuu kwenye.vaccum hakuna.air..na.ndege anapotaka.kupaa huwa ana.push mabawa yake against.air..so.bila.hewa n.impossible
Na kuhusu saut n desgn kama.nayo.n impossible
Vacuum does not contain matter that the sound can interact with, in order to propagate.
kwahiyo mkuu kumbe kwenye vacuum hakuna gravitation force.. na anga za mbali nazo ni vacuumKwanza tuanze a vacuum ni nini? Nielewavyo mimi vacuum ni utupu, yaani sehemu isiyokuwa na kitu kabisa hata chembe chembe za hewa hakuna, sasa kwa hali ya kawaida 100% vacuum binadamu hawezi kuitengeneza hivyo kwa kifupi hakuna 100% vacuum hapa Duniani (nikimaanisha vacuum ya kutengenezwa), ila kilichopo na ukaribu tu wa vacuum kwa ajili ya matumizi ya kibinadamu!
Tuje kwenye swali nianze na lile la nyongeza, sidhani kama Sauti inaweza kusikika kwenye vacuum, kwa sababu Sauti ni mawimbi au niseme sauti inasafiri kwenye Mawimbi na ili Mawimbi yasafiri inahitajika kitu cha kuyasafirisha sasa kama vacuum ni tupu na hakuna kitu ina maana Mawimbi hayawezi kusafiri na kama hayawezi kusafiri ina maana basi Sauti haiwezi kusikika upande wa pili kwa maana hakuna cha kuisafirisha!
Kuhusu swali lako la msingi la kama Ndege anaweza kupaa kwenye vacuum , nafikiri ni swali gumu kidogo kwangu kwa maana vacuum haina kitu, hivyo nafikiri anaweza lkn hawezi kutua, bali atapaa milele!
How can a living thing thag need Oxygen live in vaccum? What a question.Wadau naombeni jibu hapo kwa anaefahamu lkn lipo na swali la nyongeza ambalo ni je,sauti inaweza kusikika kwenye vacum/mahala tupu..?
karibuni..
nilijua ntakutana na swali kama hili...How can a living thing thag need Oxygen live in vaccum? What a question.
Kisayansi atakuwa anaelea koz kwenye vavuum kuna zero gravity. Kwa ninavyokumbuka
kwahiyo mkuu kumbe kwenye vacuum hakuna gravitation force.. na anga za mbali nazo ni vacuum
Hakuna.mkuu.my b yakutengenezaHivi mkuu kuna vacuum duniani
nilijua ntakutana na swali kama hili...
nadhani inaweza kufanyika njia ambayo ndege huyo atapata hewa bila kuisambaza mahala penye vacuum..
kama hiyo unaona haitawezekana tuchukulie mfano helcopter ambayo inaweza kuwa control kwa remote[/QUOThen that will not be a vacuum any more.
Lakini space, kama unazungumzia anga za mbali,it isn't completely empty, bado kuna particles nyingi tu ingawa hakuna hewaSauti haiwezi ikatembea sehemu tupu (in a space) sauti hutembea kupitia mawimbi ama ya maji, hewa au vitu kama chuma (metals) na mawimbi haya yanasababisha na Atoms na molecules, sasa sehemu tupu ambayo haina chochote katika hivi sauti haiwezi tembea kwakuwa hakuna njia zake.
wenye ufahamu zaidi wa sayansi wataongezea