Ndege iliyobeba Msafara wa Timu ya Yanga SC 259 kwenda Algeria yaamriwa Kutua kwa Dharula Ethiopia kushusha Hirizi nzito

Ndege iliyobeba Msafara wa Timu ya Yanga SC 259 kwenda Algeria yaamriwa Kutua kwa Dharula Ethiopia kushusha Hirizi nzito

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Na mpaka muda huu GENTAMYCINE naandika hapa Wamefanikiwa Kushusha Mabegi Sita yenye Hirizi, Nazi, Mkojo wa Kenge, Sikio la Kicheche, Kende za Fisi na Mayai Viza ila Begi Moja limekataa Kutolewa katika Ndege hivyo juhudi Kali zinaendelea Kulishusha.

Yanga SC bhana yaani Ndege ya Watu 259 nyie mmejaza Waganga wa Kienyeji 73 hata Aibu hamna.
 
Back
Top Bottom