Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 4,151
- 4,277
Hatuwezi kuungana kufanya dhulma.Mkulima atashindwa kwa mara ingine
Watanzania tuungane kuaxhiwa ndege yetu ili tusonge mbele.
Mkulima alishashindwa kesi kitambo anafanya collusion tu saa hiziDawa ya deni haijawahi kuwa ubabe na udhulumaji
Khaa..Nikiwa mkubwa nataka niwe kama mkulima wa South!
Duuuh sawa nakusubiri mie nitakuwa kama wa biharamlo masharikiNikiwa mkubwa nataka niwe kama mkulima wa South!
Naam, sisi hatuwezi kuungana na wadhalimu, dawa ya deni ni kulipa.Hatuwezi kuungana kufanya dhulma.
Dawa ya deni kulipa.
Wasalime Ibindi mkuu kuna mgodi wangu huko soon nakujaMimi shule ni shida Sana,lakini nijiuliza tatizo ni Canada ? Au Kuna mtu anadai? Sina shaka hata tukienda kutengenezea ndege Vietnam bado huyu mkulima atakwenda.Kwa sababu tatu 1..,,,Anadai haki yake
2......Ana nia ya kudai
3......Ana uwezo wa kudai
Mimi niliyekimbia darasa naona si busara kutafuta political credit Kwa watanzania.Jadili kilicho chake apewe .Tutafanikiwa kumzungusha lakini atatutesa sana.CANADA HAISUKIIIIIII .Salaam kutoka Kapalangamgese Katavi