mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Wana JF,
Ukitaka kujua aina za wachungaji tuliona basi unasubiri tu mudam ahadi lukuki za Askofu gwajima sijawahi ona hata mojam alisema atafungua chuo cha marubanim watu waje kujifunza kuendesha ndegem Alisema mwakani ataingiza machine za kufua umeme ambazo zitamaliza kabisa tatizo la umeme, ajakaa sawa akasema amenunua ndege kwa ajiri ya shughuli zake za kuendeleza injili, yeye anasema kupanua injili,
Sasa naulizam zile treni za umemem magari ya kusafirisha waumini wake, meli za uvuvi kwenye kina kirefu kati ya hivyo ametekeleza vipi>
Hivi huyu mtu ni kweli aliwahi kutimiza ahadi hata moja. Na hizi tambo zake kusema kwa KAWE sasa mwendo wa chafyq
Ukitaka kujua aina za wachungaji tuliona basi unasubiri tu mudam ahadi lukuki za Askofu gwajima sijawahi ona hata mojam alisema atafungua chuo cha marubanim watu waje kujifunza kuendesha ndegem Alisema mwakani ataingiza machine za kufua umeme ambazo zitamaliza kabisa tatizo la umeme, ajakaa sawa akasema amenunua ndege kwa ajiri ya shughuli zake za kuendeleza injili, yeye anasema kupanua injili,
Sasa naulizam zile treni za umemem magari ya kusafirisha waumini wake, meli za uvuvi kwenye kina kirefu kati ya hivyo ametekeleza vipi>
Hivi huyu mtu ni kweli aliwahi kutimiza ahadi hata moja. Na hizi tambo zake kusema kwa KAWE sasa mwendo wa chafyq