Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Watu 15 akiwemo Mtoto, wamejeruhiwa huku baadhi yao wakiwaishwa Hospitali kutokana na majeraha waliyoyapata baada ya Ndege ya Delta ya Nchini Marekani kupata ajali leo kwa kubinuka juu chini kwenye njia ya kurukia Ndege baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Toronto Nchini Canada.
Hata hivyo hakuna kifo chochote kilichosababishwa na ajali hiyo ambayo imehusisha Ndege ya Delta namba 4819 iliyotokea Minneapolis Marekani kwenda Toronto, Canada ikiwa na Abiria 80 ambao wote wameondolewa kwenye Ndege hiyo tayari.
Soma Pia: Marekani: Ndege iliobeba raia 64 imegongana hewani na helicopter ya kijeshi na kusababisha vifo kadhaa
Kubinuka kwa Ndege hii kumetokea wakati upepo mkali
Hata hivyo hakuna kifo chochote kilichosababishwa na ajali hiyo ambayo imehusisha Ndege ya Delta namba 4819 iliyotokea Minneapolis Marekani kwenda Toronto, Canada ikiwa na Abiria 80 ambao wote wameondolewa kwenye Ndege hiyo tayari.
Soma Pia: Marekani: Ndege iliobeba raia 64 imegongana hewani na helicopter ya kijeshi na kusababisha vifo kadhaa
Kubinuka kwa Ndege hii kumetokea wakati upepo mkali