Watu 15 akiwemo Mtoto, wamejeruhiwa huku baadhi yao wakiwaishwa Hospitali kutokana na majeraha waliyoyapata baada ya Ndege ya Delta ya Nchini Marekani kupata ajali leo kwa kubinuka juu chini kwenye njia ya kurukia Ndege baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Toronto Nchini Canada.
Hata hivyo hakuna kifo chochote kilichosababishwa na ajali hiyo ambayo imehusisha Ndege ya Delta namba 4819 iliyotokea Minneapolis Marekani kwenda Toronto, Canada ikiwa na Abiria 80 ambao wote wameondolewa kwenye Ndege hiyo tayari.
Watu 15 akiwemo Mtoto, wamejeruhiwa huku baadhi yao wakiwaishwa Hospitali kutokana na majeraha waliyoyapata baada ya Ndege ya Delta ya Nchini Marekani kupata ajali leo kwa kubinuka juu chini kwenye njia ya kurukia Ndege baada ya kutua katika uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Toronto Nchini Canada.
Hata hivyo hakuna kifo chochote kilichosababishwa na ajali hiyo ambayo imehusisha Ndege ya Delta namba 4819 iliyotokea Minneapolis Marekani kwenda Toronto, Canada ikiwa na Abiria 80 ambao wote wameondolewa kwenye Ndege hiyo tayari.
Ukweli ni kwamba ajali hii ingetokea kwenye nchi Kama hii ya kwetu, basi Abiria wote kabisa waliopo kwenye hiyo ndege mpaka sasa wangekuwa tayari tusingeweza tena kuwa nao tena kwenye dunia hii. Wangekuwa tayari wameshatangulia mbele za haki.
Huu ndio Ukweli, whether we like it or not.
Ukweli ni kwamba ajali hii ingetokea kwenye nchi Kama hii ya kwetu, basi Abiria wote kabisa waliopo kwenye hiyo ndege mpaka sasa wangekuwa tayari tusingeweza tena kuwa nao tena kwenye dunia hii. Wangekuwa tayari wameshatangulia mbele za haki.
Huu ndio Ukweli, whether we like it or not.
Rubani alilazimisha kutua hali ya hewa ikiwa mbaya sana. Japopia amejitahidi kupunguza ukubwa wa ajali maana kwa hali hiyo ya hewa na utulivu wa ndege wakati inatua alijitahidi.
Video nimekutana nayo insta kuanzia ndege inatua mpaka moto unazuka. Nikaiacha sikuzingatia sana
Ukweli ni kwamba ajali hii ingetokea kwenye nchi Kama hii ya kwetu, basi Abiria wote kabisa waliopo kwenye hiyo ndege mpaka sasa wangekuwa tayari tusingeweza tena kuwa nao tena kwenye dunia hii. Wangekuwa tayari wameshatangulia mbele za haki.
Huu ndio Ukweli, whether we like it or not.
Ndege yenyewe wewe hujawahi panda maisha yako yote lakini unavyojifanya mchambuzi utafikiri ulishawahi kuwa rubani wakati wewe ni mwendesha bodaboda unaishi uswahilini