Power to the People
JF-Expert Member
- Jul 11, 2007
- 1,198
- 894
...I hope haujafanyika ufisadi hapo kama yale ma-helkopta ya mitumba!!!Imeanguka
Nimetuma Post Sasa Hivi Sikuona Hii
Imeanguka
Nimetuma Post Sasa Hivi Sikuona Hii
Lo!hizi ndege ndogo na helcopta zetiu mbona zinapata masahibu hivi?
Mungu nusuru maisha ya watanzania.
Lo!hizi ndege ndogo na helcopta zetiu mbona zinapata masahibu hivi?
Mungu nusuru maisha ya watanzania.
Mungu aweze roho zao mahali pema peponi, AMEN!
NakuliliaTanzania, bado hawajathibitishwa kufa, japo kupona ni bahati
Ndege hiyo mali ya Wizara ya Maliasili na Utalii, imeangukia mlimani wilayani Monduli ikiwa njiani Kwenda Loliondo, ndio wahusika wamepaki magari hivi sasa wanapanda mlimani kuangalia ilipo. Ndege ilikua na biria watatu na rubani wake Pius Ngwalali. Miongoni mwa waliokuwamo ni Naibu Mkurugenzi wa Wanyamapori, Miriam Zachariah na Ofisa wanyamapori Stephen Mahinya.
Ndege iliondoka Dar Julai 3 saa 2.30 asubuhi na kutua Arusha airport saa 4.00asubuhi na kuruka hapo Arusha uwanja mdogo saa 5.00 asubuhi kuelekea Loliondo, na baada ya hapo haijaonekana tena.
Thanks for the info. i expect more news on this.