Ndege ya Kivita ya Urusi SU - 35 yaingia Katika anga la Marekani huko Alaska, Rubani wa marekani apata Kiwewe

Ndege ya Kivita ya Urusi SU - 35 yaingia Katika anga la Marekani huko Alaska, Rubani wa marekani apata Kiwewe

Sir John Roberts

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2017
Posts
12,835
Reaction score
23,584
Rubani wa ndege ya Kivita ya Urusi alimsurprise Rubani mwenzake aliyekua anaendesha ndege ya Kivita ya Marekani F- 16 akiwa katika doria karibu na pwani ya Alaska na kumfanya apagawe kwa namna Mrusi huyo alivompita ghafla katika tukio ambalo ni nadra sana kutokea.

Mpaka sasa Pentagon hawajatoa taarifa rasmi lakini wamedokeza kuwa wanafuatilia kuwa ndege hiyo ilifuata Nini katika eneo lao la kiulinzi. Russia anatuma Salam naona.

Screenshot_20240930-204440_1.jpg
Screenshot_20240930-204352_1.jpg
 
Rubani wa ndege ya Kivita ya Urusi alimsurprise Rubani mwenzake aliyekua anaendesha ndege ya Kivita ya Marekani F- 16 akiwa katika doria karibu na pwani ya Alaska na kumfanya apagawe kwa namna Mrusi huyo alivompita ghafla katika tukio ambalo ni nadra sana kutokea.

Mpaka sasa Pentagon hawajatoa taarifa rasmi lakini wamedokeza kuwa wanafuatilia kuwa ndege hiyo ilifuata Nini katika eneo lao la kiulinzi. Russia anatuma Salam naona.

View attachment 3111547View attachment 3111549
Acha ndugu zako wa jf waongeze chumvi
 
Rubani wa ndege ya Kivita ya Urusi alimsurprise Rubani mwenzake aliyekua anaendesha ndege ya Kivita ya Marekani F- 16 akiwa katika doria karibu na pwani ya Alaska na kumfanya apagawe kwa namna Mrusi huyo alivompita ghafla katika tukio ambalo ni nadra sana kutokea.

Mpaka sasa Pentagon hawajatoa taarifa rasmi lakini wamedokeza kuwa wanafuatilia kuwa ndege hiyo ilifuata Nini katika eneo lao la kiulinzi. Russia anatuma Salam naona.

View attachment 3111547View attachment 3111549
Umeshaondoka Beirut?
Ulizamia Gaza na Beirut mazima kiasi ukasahau kuwa upande mwingine kuna matukio yanaemdekea.
Kwa taarifa yako tu, hili tukio siyonla leo ni wewe ulikosa mawasiliano ulipokuwa umejificha na Nasrallah (SAW).
Nikufahamishe tu, Russia haikuingia aalaska bali alikuwa yupo upande wake. Katika mpaka baina ya nchi na nchi kuna umbali unatakiwa majeshi yakae na ukiingia ndani ya umbali hui hata kama ni ndani ya nchi yako unahesabiwa umevamia nchi nyingine hata kama haujavuka border.

Kwa kukiuka sheria hiyo ndiyo maana kila siku wanajeshi wa India na China wana report malalamiko ya kutiana madole mpakana.
Majeshi yao yanayenganishwa na mstari wa mpaka tu kiasi hata majani ya chai na sukari wanaombana.
Wameamua kutokuwa wanabeba silaha ila wanasiasa wao wakitofautiana tu askari wao wanapigana kwa kutiana madole
IMG_3036.jpeg

IMG_3035.jpeg
IMG_3034.jpeg
IMG_3033.jpeg
IMG_3032.jpeg
 
Back
Top Bottom