Ndege ya Mkandarasi wa Jeshi la Marekani ilifanya nini karibu na ndege ya Makamu Rais wa Malawi Chilima kabla tu haijapotea?

OleWako Hii flightradar24 inafanyaje kazi? Ni kama inaonyesha baadhi ya ndege na sio zote.
Flightradar24 inatumia taarifa za transponders za ADS-B ambayo ni mfumo wa kufuatilia ndege. Inasaidia air traffic controllers na rubani pamoja na mifumo mingine kujua nafasi ndege zilizopo. Inategemea na nchi lakini huwa si lazima kuwasha transponder hii ila kwenye civil aviation yaani operations zisizohusu jeshi huwa inawashwa. Ndege za jeshi kama ile ya Chilima mara nyingi hizo transponders haziwaki kwa hiyo zinaoneka ndege nyingi lakini si zote
 
Watawala wa ki-Afrika na Wananchi wao wako busy sana kuhangaikia mambo yasiyokuwa ya msingi badala ya kufikiria kuwekeza kwenye suala la Elimu, hususani Elimu ya Sayansi na Teknolojia ambayo ndio nguzo kuu ya kuendesha maisha ya binadamu katika zama hizi za kisasa za dunia ya Sasa. Kitendo cha Serikali kuwekeza kwenye masuala ya hovyo hovyo kama Siasa za hovyo na kupuuzia yale masuala ya msingi matokeo yake ndio haya.
Dunia ya Sasa inaendeshwa kitaalamu Tena kwa kutumia Akili kubwa zaidi ya Sayansi na Teknokojia, siyo kufanya propaganda uchwala za Uchawa, kusifiana au kutumia mabavu zaidi bila akili katika kutawala watu. Zama zimebadilika na sisi Waafrika pia yatupasa kubadilika kuendana na nyakati.

This is the Cyber Warfare and it seems to be a TECHNINT Covert Ops, the same and the similar tactics were used to eliminate a former President of Mozambique Samora Matchel.
 
Ndoo maana jiwe hakutaka kupanda mwewe!

USA wababe sana hao mbwa.
 
Tumesoma naye huyo mwamba. Oh my classmate upatikane salama
 
Kwa hiyo wa kwetu apunguze kupaa au ye hana wa kumuonea gere?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…