Toka imeondoka nchini kuelekea kule Arabuni nadhani ndiyo ilikuwa safari ya mwisho hadi leo sijaona ikiwa hapa uwanja wa ndege Dar Es Salaam au kule Zanzibar.
Kwenye ile rada maarufu ya kutrack ndege inayoitwa Flightradar24 haionekani.
Ndugu zangu ndege yetu iko wapi na nini sababu ya kupotea hata kwenye rada?
We ni chizi.Safi naina unakuja vizuri na vipi ile ndege yetu ya abilia iliyoshikiliwa huko Arabuni?.
Mbona kama huka taarifa kamili?, ungetaja na aina ya ndege, Registration yake ili tukuone upo detailed...Safi naina unakuja vizuri na vipi ile ndege yetu ya abilia iliyoshikiliwa huko Arabuni?.
Kwani kuna ndege nyingine inashikiliwa Urabuni!! Kwa mara ya mwisho nakumbuka ilikuwa inashikiliwa Uholanzi, na tayari ilishaachiliwa.Safi naina unakuja vizuri na vipi ile ndege yetu ya abilia iliyoshikiliwa huko Arabuni?.
Toka imeondoka nchini kuelekea kule Arabuni nadhani ndiyo ilikuwa safari ya mwisho hadi leo sijaona ikiwa hapa uwanja wa ndege Dar Es Salaam au kule Zanzibar.
Kwenye ile rada maarufu ya kutrack ndege inayoitwa Flightradar24 haionekani, lakini ukiacha hiyo ambayo inawezekana ikafahamika ilipo je ile ya abilia iliyoshikiliwa iko wapi?.
Ndugu zangu ndege yetu iko wapi na nini sababu ya kupotea hata kwenye rada?
Umeulizwa vizuri badala ujibu unatukana punguza makasiliko jibu hojaWe ni chizi.
Na wewe unafatana nayo?Toka imeondoka nchini kuelekea kule Arabuni nadhani ndiyo ilikuwa safari ya mwisho hadi leo sijaona ikiwa hapa uwanja wa ndege Dar Es Salaam au kule Zanzibar.
Kwenye ile rada maarufu ya kutrack ndege inayoitwa Flightradar24 haionekani, lakini ukiacha hiyo ambayo inawezekana ikafahamika ilipo je ile ya abilia iliyoshikiliwa iko wapi?.
Ndugu zangu ndege yetu iko wapi na nini sababu ya kupotea hata kwenye rada?
Sidhani kama hapa tarafani kwetu kwedikanya kuna huyo mtu umemtaja, labda nielekeze ofisi yake alipo ni wilaya ya Namtwepu huku!.