Gereji? ile si ilikuwa mpya kabisaSijui!! labda ipo gereji au wamesha ipiga......UTAWAWEZA???
Haikua mpya, waliipaka rangi tuu wakasema mpya kama yaleyale ya rada ..... huoni wanaogopa hata kusafiria ?Gereji? ile si ilikuwa mpya kabisa
ina maana kabla ya uamuzi wa kuinunua hawakufanya cost analysis hii? Nawauliza hawa watu wa PPRA?Ndege ya Rais ipo ila walisema kuendesha
ni gharama kubwa sana bora
Rais anaposafiri kutumia Bussines Class
na wasaidizi wake.
ina maana kabla ya uamuzi wa kuinunua hawakufanya cost analysis hii? Nawauliza hawa watu wa PPRA?
Ndege ya Rais ipo ila walisema kuendesha
ni gharama kubwa sana bora
Rais anaposafiri kutumia Bussines Class
na wasaidizi wake.
iko msoga wachina wakikamilisha kutengeneza kiwanja cha ndege ndiyo itakuwa ya kwanza kutestiwa toka hapo kwenda mtwara then lindi kisha shinyanga
Wapuuzi kabisa; kwani walipoamua kuinunua hawakujua gharama za uendeshaji wake??? Kwa hiyo ni pambo tuu hapo kwenye PARKING uwanja wa ndege??? Kweli hii nchi ni zaidi ya shamba la Bibi!!
Mramba anajua vizuri kuhusu hili, ALISEMA WATU BORA WALE NYASI, LAKINI NDEGE KUNUNUA LAZIMA.ina maana kabla ya uamuzi wa kuinunua hawakufanya cost analysis hii? Nawauliza hawa watu wa PPRA?
yes ilikuwa mpya,imeenda kwa ajili ya kubadili air filter na kubadili oil!Gereji? ile si ilikuwa mpya kabisa