Ndege ya Rais wetu ipo Wapi?

inamana viongozi wetu ni wema hvo kwa nchi?
hata siamini kama hawaitumii kwa kupunguza
gharama?
hawahawa?
hapana hyo ndege itakuwa na tatizo kubwa
ambalo nadhani kulifix ni sawa na kununua
ndege mpya kwa hyo hyo wameshindwa
kwa kuogopa kuulizwa.
me naamini ingekuwa nzima hawa jamaa
ishu ya gharma kwao cyo big deal
wasitudanganye hawa jamaa
 
....Hata kama mtakula NYASI/majani ya Migomba/kahawa/katani/tumbaku/miwa...ndege lazima inunuliwe...kauli ya Mbunge akitetea kodi ya wananchi itumike kununulia ndege ya Baba Mwenyenyumba
 
ukiona mtu anaanza kupalilia kaburi la marehemu babu yake basi ujue yamemfika.
 
Ikishamalizika kufanyiwa service itakwenda kuivuta ile ipo pale kigoma nayo ije itengenezwe
 
itabidi nimtafute mbunge wangu anisaidie kuiuliza serikali hii ndege ipo wapi? maana kama kweli haijaruka, na haijawahi kumbeba rais wetu toka inunuliwe basi lazima Tanzania tuingie kwenye maajabu 10 ya dunia.
 
Tena sio wapuuzi tu,kwa kuongezea ni wapumbavu!,Mana sio ndege ndege tu hata zile pikipiki walizonunua nakuzijaza mahospitalini wakati wakijua hakuna miundombinu yakuzitumia sehemu zenyewe na mpaka sasa zipo tu zinaoza bila kutumika.je utasema viongozi wetu wana akili kweli?
 
....Hata kama mtakula NYASI/majani ya Migomba/kahawa/katani/tumbaku/miwa...ndege lazima inunuliwe...kauli ya Mbunge akitetea kodi ya wananchi itumike kununulia ndege ya Baba Mwenyenyumba
huyu mtu si bado hupo hai, basi ni vizuri tumtafute tumuulize - inaonekana hii ndenge baada ya kutua wakachomoa engine wakaiuza ?
 
tanzania ni zaidi ya uijuavyo.....
 
Wapuuzi kabisa; kwani walipoamua kuinunua hawakujua gharama za uendeshaji wake??? Kwa hiyo ni pambo tuu hapo kwenye PARKING uwanja wa ndege??? Kweli hii nchi ni zaidi ya shamba la Bibi!!
mkuu hivi ni kweli ngoma imepaki hapo uwanjani? its hard to believe mambo haya! ndege mpya kabisa duh!
 
wameuza vyuma chakavu
mkuu ni vigumu kuamini haya mambo, kiukweli inauma sana, kama kweli watu waliamua kufanya hivi walivyofanya na wapo wanadunda !! aisee!!!
 
Kama kweli imepaki airport; sasa si ndiyo inazidi kuchakaa zaidi? kwa nini tusiiuze tupate walau hela tununulie madawati ya watoto wetu wanasoma wakiwa sakafuni? kitabu kimoja darasa Zima wakati ndege ya mabillion imepaki uwanjani huku inalipiwa parking charges!
 
nikonde mara ngapi? mmetukondesha toka 1961 mimi na jamii yangu na leo unataka tena tukonde? kafie mbali huko
 
ila mara ya mwisho mbona naskia ilikuwa inazingua power steering na ilikua inamis...sidhani kama washarekebisha caburator
 
Watu wapo busy wanaizunguka dunia achemi kuwasumbua na maswali magumu
 
Mara nyingi naiona pale uwanja wa zamani unaotumiwa na ndege ndogo, pembeni ya mlango wa kuingilia arrivals. Iko katika hali nzuri.
 

Mkuu kweli hiyo ndege ipo, sio rahisi kuiona maana inapaki terminal 1 karibu na hanga za jwtz na Precision. Ninaamini haiwezi kutua katika viwanja vingi hapa nchini, ila dar, Zanzibar, kilimanjaro na Mwanza sina uhakika. Jumla ya safari tusubiri wanaozijua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…