Ndege ya Rais wetu ipo Wapi?

labda ilikuwa inasumbua kwenye ya rivers ndo maana wameipeleka gereji
 
Gereji? ile si ilikuwa mpya kabisa
Hauna..... haja ya kujua... lengo lako na akili yako imekaa ki upinzani.... kama hautaki majibu haya baasi elezea unachokitaka weww....

Umeleta thread unauliza ndege iko... wap.. unabiwa iko gerej unaktaa unasema ilikua mpya.... kwan kitu kipya hakiend gerej....

Basi jijibu wewe mwenyewe
 
Ule tuliokula nyasi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…