Haya kikwapi mmenunua midege imepaki, wenzenu hao wanafika new york, kuna mtu hazina kaweka xhumbani kwake na mafailiKwahiyo tutakuwa na ndege 2 kubwa boeing 787 dreamliner
Wakenya wanadhani Tanzania tunatania. Hapa kutakuwa na ushindani wa nguvu. Na sisi lengo letu ni kuwaleta watalii nchini mwetu.
Watalii wangapi wamekuja mwaka sasa umepita midege imepakiBiashara ya ndege ni kama biashara nyingine, ni ngumu.
Kutarajia faida ndani ya miaka miwili au hata mi5 ni kutojua biashara inavyoenda.
Biashara hii inahitaji long term planning, tunaingia kwenye biashara hii tukiwa tumezungukwa na washindani, hatawezi kupata faidi siku za karibuni. Ila kwa mipango na uendeshaji mzuri tutavuka.
Wengi hatujui faida ya ndege. Kwa ufupi kabisa, faida moja wapo ya ndege ni utalii na uwekezaji.
Ukipanda Kenya Airways, lazima itue Kenya, ukipanda Ethiopian Air lazima itue Ethiopia, sasa unatarajia vipi mtalii atue Kenya then apande nyingine kuja Tanzania kutalii? Kwa nini aangaike na asibaki kutalii Kenya?
Ndege zetu zitaleta watalii moja moja. Inaweza isiwe mwaka huu ila tutafika.
Uwanja wa ndege wa Nyerere umetanuliwa sana, je tunataka ujae na ndege za Kenya, Ethiopia, Rwanda na South Africa bila kuwa na Air Tanzania?
Yaani ni sawa kuwa nyumbani kwako kuna parking kubwa nzuri ila yana paki magari ya majirani tu.
At least tumia masomo uliyopata darasani ipasavyo
KLM shareholding at Kenya Airways diluted to 7.8pc in new deal - Capital BusinessNAIROBI, Kenya, Nov 13 – KLM shareholding at Kenya Airways has been diluted further down to 7.8 per cent from 26.7 per cent following the capital optimization plan.
The plan has seen the government increase its stake to 48 per cent through conversion of its loans to KQ amounting to Sh24 billion and sovereign contingent guarantees worth Sh77 billion to 19 per cent resulting in the increase of the government shareholding from the current 29 per cent of the ordinary shares.
Daa ndugu, embu kua kidogo acha ushamba. Unaleta ushabiki wa Simba na Yanga kwenye mambo ya msingi bwana. Yaani maneno yote umeona utalii tuu?Watalii wangapi wamekuja mwaka sasa umepita midege imepaki
Unajua route za ndege znavyopatikana? Dnt talk as sleeping body...Safi sana JPM wakati dude moja linaruka kuelekea uarabuni na China lingine linaruka Europe na Australia
zile nyingine mbili zinaruka South Africa na Uganda nyingine west Africa
Hizi ndogo ndio wakina Fast jet wajiandae kufunga virago sababu moto lazima uwake
ni kweli bana ata ukiingia ktk website ya boeing iyo order yao inaonekana ipo active ....sasa huku ni kukufuru midege yotee tunanua kwa pesa yetu
Inasikitisha sana kuona wengine wakiiombea NCHI YETU mabaya KILA kukicha.
Sijajua wana MAANA GANI. KAMA unakumbuka ndege ilivyokamatwa Canada ilikuwa FURAHA kwao.
mbona mi nimeona hawatumii air tanzania wanatumia government flight agencyMbona sioni order ya Dreamliner? Hata ukiangalia ATCL fleet, hawaonyeshi kama wanna future order
Na mlikana kuwa hakuna ndege iliyokamatwa.