Hance Mtanashati
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 20,137
- 26,189
- Thread starter
-
- #41
Huwa unafuatilia boxing au umevamia tu uzi?
Nithibitishe nini ..icho kiwanda cha mtwara kimejengwa na nini.!? Kiwanda anachojenga kule kwao ambacho kikikamilika ni sawa na USD billion 9 ..sasa uyo mayweither anaeza show kama izo??Thibitisha.
Umeelewa swali nililokuuliza na jibu ulilolitoa?Nithibitishe nini ..icho kiwanda cha mtwara kimejengwa na nini.!? Kiwanda anachojenga kule kwao ambacho kikikamilika ni sawa na USD billion 9 ..sasa uyo mayweither anaeza show kama izo??
Sent using Jamii Forums mobile app
Una akili timamu?
Dah afu kweli ..maaa mtu kama biligate sidhani kama ana ndege hata mbili za kufanya anasa..Sijamfatilia sana, lakini mtu aliyewekeza hawezi kununua ndege 5 za kutumia kwa utajiri ambao hata USD 1 bil hajafikisha.
Ndege 5 za kupiga misele, siyo za biashara!
Umeelewa swali nililokuuliza na jibu ulilolitoa?
Unajua Casino la Floyd Mayweather sawasawa na viwanda vingapi vya Dangote?
Ana ndaguro analiita Girls Collection yaani kumbe mwanamasumbwi muafrika mwenye akili kidogo ni TysonDah afu kweli ..maaa mtu kama biligate sidhani kama ana ndege hata mbili za kufanya anasa..
Ila ndio tatizo la watu weusi wa marekani ..hawanaga future za miaka hamsin au sitini badae ivi...
Wakishika mipunga ni kuwaza ngono, kubadilisha magari..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha acha dharau kwa Aliko wewe ..Umeelewa swali nililokuuliza na jibu ulilolitoa?
Unajua Casino la Floyd Mayweather sawasawa na viwanda vingapi vya Dangote?
Kila mtu ana namna ya maisha ambayo amejichagulia kuishi.Dah afu kweli ..maaa mtu kama biligate sidhani kama ana ndege hata mbili za kufanya anasa..
Ila ndio tatizo la watu weusi wa marekani ..hawanaga future za miaka hamsin au sitini badae ivi...
Wakishika mipunga ni kuwaza ngono, kubadilisha magari..
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio 10 bro ni 14+USD billion...We jamaa inaonekana unampenda sana Floyd, Aliko Dangote ana zaidi ya USD 10 bil, means May ana less than 8% ya utajiri wa Dangote. Ndo unalinganisha!
Ndo akili za black American yani ni ngono, pombe, kununua magari ya bei ghali ..hawana future kabisa ndo maana wazungu wanawadharau wao wanaona kama wanaonewa..Ana ndaguro analiita Girls Collection yaani kumbe mwanamasumbwi muafrika mwenye akili kidogo na Tyson
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah afu kweli ..maaa mtu kama biligate sidhani kama ana ndege hata mbili za kufanya anasa..
Ila ndio tatizo la watu weusi wa marekani ..hawanaga future za miaka hamsin au sitini badae ivi...
Wakishika mipunga ni kuwaza ngono, kubadilisha magari..
Sent using Jamii Forums mobile app
Iyo namna ya kuishi ya blacks wa USA ni kishamba sana ..ndo maana tuzo kama Grammy wataskiaga na kuonaga tu kwenye TV..Kila mtu ana namna ya maisha ambayo amejichagulia kuishi.
Wewe mwenye future una nini cha maana unachomiliki ,tena unaweza kukuta unakaa nyumba ya kupanga, una miliki tecno, matumizi yako kwa siku hayazidi hata elfu 10.
Kweli kabisa wala hawana msaada kwa Waafrika wenzao. Kuna huyu 50cent nayeye ovyo tu kila siku anapost ujinga tu. Hivi karibuni kuna afisa mmoja wa polisi alikuwa amepanga mpango wa kumpiga risasi za kutosha naona ingependezaNdo akili za black American yani ni ngono, pombe, kununua magari ya bei ghali ..hawana future kabisa ndo maana wazungu wanawadharau wao wanaona kama wanaonewa..
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeelewa swali nililokuuliza na jibu ulilolitoa?
Unajua Casino la Floyd Mayweather sawasawa na viwanda vingapi vya Dangote?
Yani wazungu wakishawatumiaga vya kutosha na kutengeneza mpunga wa mrefu kinachofuata ni kuwafilisi tu..Wanaku rise halafu wanakufungulia kesi za ubakaji ndio unakuwa mwisho wa kila kitu.
Muda ndio muamuzi wa mwisho.
Sent using Jamii Forums mobile app