britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
wakiweza kunyea mbingu ndio watanunua hiyoKUNA WATU WANAPENDA NDEGE HATARI, WAKISIKIA NA HII WATAWEKA ODA
How?Nimesikitika kweli maana imemuuwa na watoto wake wawili wasio na hatia pangoni it was so suddenly attack /
hakika kwa technology ya sasa ya US wanaweza hata kukutumbukizia bomu ndani ya chumba chako na hata kama unalala uvunguni ugeni ukakufika..😛
Ile tweet ya trump early morning kumbe aliimaanisha hii operation,daah this world,Iss hali yao naona ni tete up to nowView attachment 1246789
Nimesikitika kweli maana imemuuwa na watoto wake wawili wasio na hatia pangoni it was so suddenly attack /
hakika kwa technology ya sasa ya US wanaweza hata kukutumbukizia bomu ndani ya chumba chako na hata kama unalala uvunguni ugeni ukakufika..😛
Siku 2 au miaka 2?Ndege maalumu ilokaa angani kwa siku 2 imetua Leo mjini Florida baada ya kukamilisha operation zake kukagua usalama wa USA dhidi ya Wabaya wake
View attachment 1246783
Inasemekana ni ndege pekee ambayo Ina uwezo wa kufanya orbital recording in long range,
Target ni IS na Urrusi
Britannica
Eti usalama wa dunia. Nani kakudanganya? Wanatumia hela nyingi kuvuruga amani ya dunia kwa kigezo cha demokrasia.Ila Marekani inatumia hela kwenye usalama wa dunia nzima
Miaka 2 nilikoseaSiku 2 au miaka 2?
Hivi drone ni ndege pia?Ndege maalumu ya siri ilokaa angani kwa miaka 2 imetua Leo mjini Florida baada ya kukamilisha operation zake kukagua usalama wa USA dhidi ya Wabaya wake
View attachment 1246783
Inasemekana ni ndege pekee ambayo Ina uwezo wa kufanya orbital recording in long range,
Target ni IS na Russia
View attachment 1246821
Britannica
KUNA WATU WANAPENDA NDEGE HATARI, WAKISIKIA NA HII WATAWEKA ODA
Umelewa?Hii chuma magu ainunue basi tuwatishie tishie wakenya[emoji124][emoji124][emoji124]