Ndele Mwaselela aliyeshinda U NEC wa CCM Mbeya ni nani?

Ndele Mwaselela aliyeshinda U NEC wa CCM Mbeya ni nani?

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwa mara ya kwanza nimemsikia huyu jamaa kwenye siasa za Mbeya, ni kwenye yale Maigizo ya Tulia Ackson kwenye Ngoma za Asili, kugawa cement kwenye shule mbalimbali na kubeba Majeneza.

Sasa leo nimeshangaa kusikia eti kashinda U NEC wa ccm Mkoa wa Mbeya, ina maana ukiwa mpambe au Chawa wa Tulia basi maana yake unaweza kushinda chochote Mbeya?

Tukiachana na hiyo ya kushinda U NEC, lakini Je huyu Ndele Mwanselela ni nani hasa?
 
Nampenda sana Tulia anasiasa za kisasa za project za kutoa ili kupata kusaidia jamii kujikwamua kimaendeleo kwa mikopo na misaada huku akisimamia dira za maendeleo ya jamii kwa kufuata ilani ya uchaguzi ya CCM sio siasa za kuoneshana makovu, kuimba hip-hop juu ya jukwaa kufanya harakati za wavuta bangi wa Mwakaleli

Live more life Tulia

USSR
 
Ndele mwaselela ni kijana mchapa kazi,mpenda maendeleo,mwenye siasa za wastani pia ni kijana anaependa zaidi elimu Bora kwa wote.kwa kifupi ndele ni miongoni kwa wanasiasa wanaopendwa na wana mbeya.
 
Hivi wewe utaacha lini hizi post za kimajungu majungu? Wewe ni mtu wa mbeya, halafu unatuuliza sisi watu wa Nkotokwiana, Newala habari za mtu wa mbeya; huu kama siyo 'unanii' ni kitu gani? You need to grow up bro.
 
Ndele Mwaselela namjua sana huyu jamaa!

Mwaka 2009 baada yakutoka chuo sina mbele wala nyuma, niliomba kupiga chalks chule moja ya Patrick Makoyola inaitwa (Patrick Mission) kule Mivumoni Dsm!

Nilipofika pale, nikamkuta Ndele Mwaselela kama Mwal Mkuu, alinipokea nikapangiwa vipindi, Salary was 250k kwa mwezi!

Pale shule nilimfundisha mtoto wa Dr Janab, siku moja Janab akiwa Physician wa Jakaya,alikuja pale Patrick Mission kumsalimia mtoto wake! Mtoto wake alikua karibu sana na mimi, mtoto alinitambulisha kwa Baba yake, The rest is history!

Ndele Mwaselela anapenda sana siasa na nina imani atapewa moja ya majimbo ya huko Mbeya atupe karata yake, maana naona yuko karibu sana Tulia Ackson!

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Ndele Mwaselela namjua sana huyu jamaa!

Mwaka 2009 baada yakutoka chuo sina mbele wala nyuma, niliomba kupiga chalks chule moja ya Patrick Makoyola inaitwa (Patrick Mission) kule Mivumoni Dsm!

Nilipofika pale, nikamkuta Ndele Mwaselela kama Mwal Mkuu, alinipokea nikapangiwa vipindi, Salary was 250k kwa mwezi!

Pale shule nilimfundisha mtoto wa Dr Janab, siku moja Janab akiwa Physician wa Jakaya,alikuja pale Patrick Mission kumsalimia mtoto wake! Mtoto wake alikua karibu sana na mimi, mtoto alinitambulisha kwa Baba yake, The rest is history!

Ndele Mwaselela anapenda sana siasa na nina imani atapewa moja ya majimbo ya huko Mbeya atupe karata yake, maana naona yuko karibu sana Tulia Ackson!

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Aiseeeee !!
 
Hivi wewe utaacha lini hizi post za kimajungu majungu? Wewe ni mtu wa mbeya, halafu unatuuliza sisi watu wa Nkotokwiana, Newala habari za mtu wa mbeya; huu kama siyo 'unanii' ni kitu gani? You need to grow up bro.
nisamehe mkuu , ni kweli mimi ni wa Mbeya , lakini nawezaje kuwajua watu wote wa Mbeya ?
 
Kwa mara ya kwanza nimemsikia huyu jamaa kwenye siasa za Mbeya, ni kwenye yale Maigizo ya Tulia Ackson kwenye Ngoma za Asili, kugawa cement kwenye shule mbalimbali na kubeba Majeneza.

Sasa leo nimeshangaa kusikia eti kashinda U NEC wa ccm Mkoa wa Mbeya, ina maana ukiwa mpambe au Chawa wa Tulia basi maana yake unaweza kushinda chochote Mbeya?

Tukiachana na hiyo ya kushinda U NEC, lakini Je huyu Ndele Mwanselela ni nani hasa?
Wewe Erythrocyte unaitakia nini CV ya mwana CCM?

Tueleze kwanza CV ya huyu aliyemkumbatia Lissu hapa!

Na hiyo alama niliyoiwekea duara!
[emoji116][emoji1787][emoji1787]
FB_IMG_1676843846803.jpg


Hiyo kitu ndio inawapa hizi akili za kipuuzi....Rainbow coloured materials!
 
Back
Top Bottom