Amanijua
JF-Expert Member
- Mar 7, 2014
- 1,776
- 1,619
Nimekua nikijiuliza sana hili swali bila kupata majibu yenye mashiko...
Na Leo asubuhi nikiwa napita kwenye jengo la CCM makao makuu nimekutana na mdada ambaye kwa kumwangalia anaweza akawa kwenye late 20's. Lakini kidevu chake kimejaa ndevu na inaonyesha hajawahi kunyoa.
Hali hiyo ipo hadi miguuni na eneo la kifuani.
Sasa kwa wale wenye ufahamu na hili naomba wanipe elimu ili kama kuna precautions ambazo wazazi watarajiwa wanaweza kuzichukua pale wanapokua wajawazito ijulikane,maana nilishawahi kumsikia mzee mmoja akisema mwanamke mjamzito akiwa anapenda sana aina Fulani za vyakula hupelekea kupunguza feminine hormones endapo atakua amebeba ujauzito wenye mtoto wa kike.....
Na Leo asubuhi nikiwa napita kwenye jengo la CCM makao makuu nimekutana na mdada ambaye kwa kumwangalia anaweza akawa kwenye late 20's. Lakini kidevu chake kimejaa ndevu na inaonyesha hajawahi kunyoa.
Hali hiyo ipo hadi miguuni na eneo la kifuani.
Sasa kwa wale wenye ufahamu na hili naomba wanipe elimu ili kama kuna precautions ambazo wazazi watarajiwa wanaweza kuzichukua pale wanapokua wajawazito ijulikane,maana nilishawahi kumsikia mzee mmoja akisema mwanamke mjamzito akiwa anapenda sana aina Fulani za vyakula hupelekea kupunguza feminine hormones endapo atakua amebeba ujauzito wenye mtoto wa kike.....