Petro E. Mselewa
JF-Expert Member
- Dec 27, 2012
- 10,307
- 25,932
Mtindo mpya wa kuacha ndevu zilizo na mvi 'ulioibuliwa' na Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe umeonekana kupata wafuasi baada ya Mbunge wa Rombo Joseph Selasini kuonekana katika mtindo huo.
Mbowe aliibuka na mtindo huo baada ya kutokea mahabusu kwenye kesi yake inayoendelea Mahakama ya hakimu Mkazi Kisutu pamoja na viongozi wenzake waandamizi wa CHADEMA. Tangu hapo, Mbowe amekuwa na muonekano mpya.
Usishangae hako kamnyoo wanaume wote wa Kilimanjaro wanakaiga.ila hako kamyoo mwanzilishi Ni profesa baregu mbowe na salasini ilitakiwa kwenye kidevu waandike haka kamnyoo tume copy kwa profesa baregu.Lakini kwa kuwa hawajasoma hawaelewi Mambo ya copy right.Profesa baregu waburuze wote mahakamani kwa kuiga unyoaji wako wakulipe
Zidumu fikira za kiongozi wa maiisha wa jamhuri ya kidemokrasia ya Chadema mheshimiwa Kim Jong Un Mbowe na zidumu stail zake za kunyoa kidevu.Korea kaskazini wanaume wote hutakiwa kunyoa mnyoo wa kiongozi mpendwa naona ya Korea kaskazini yametua chademaView attachment 780668
New style in town,ngoja namimi niige
Hapa hazungumziwi Rais Kabila Mkuu. Anazungumziwa Mwenyekiti Mbowe na Mbunge SelasiniToo low, mbona Joseph Kabila kitambo ameachia mchebe wenye mvi.
Sawa,Hapa hazungumziwi Rais Kabila Mkuu. Anazungumziwa Mwenyekiti Mbowe na Mbunge Selasini
Nadhani umechanganya taarifa,korea kaskazini Kim Jong ameruhusu kunyoa style 28 tofauti ila hakuna anaeruhusiwa kunyoa style ambayo Kim Jong hunyoa.Zidumu fikira za kiongozi wa maiisha wa jamhuri ya kidemokrasia ya Chadema mheshimiwa Kim Jong Un Mbowe na zidumu stail zake za kunyoa kidevu.Korea kaskazini wanaume wote hutakiwa kunyoa mnyoo wa kiongozi mpendwa naona ya Korea kaskazini yametua chadema
Akili za fisiemu.Usishangae hako kamnyoo wanaume wote wa Kilimanjaro wanakaiga.ila hako kamyoo mwanzilishi Ni profesa baregu mbowe na salasini ilitakiwa kwenye kidevu waandike haka kamnyoo tume copy kwa profesa baregu.Lakini kwa kuwa hawajasoma hawaelewi Mambo ya copy right.Profesa baregu waburuze wote mahakamani kwa kuiga unyoaji wako wakulipe