Ukiwa na ndevu, zinakufanya upendeze some time Kama unazitunza Kwa umakini
Ila kuna kuna Wanawake vichefuchefu, hao n shida utasikia Mara midevu yako Kama brash, Mara sijui Kama migumu ya mende
..oohh ukirudi usirud nazo ushave huko huko
Hapo ndo utakuta wanaume tunakuwagawapole Kwa stail hiyo inabidi to tushave kuokoa mahusiano yetu,
Lol[emoji41][emoji41]
Ww ndio huyo?