Ndg Asprin

Ndg Asprin

DaMie

JF-Expert Member
Joined
Mar 24, 2010
Posts
684
Reaction score
171
Post zako zinanifurahisha saana
Post zako zina busara saana
Natamani brain yako iwe yangu.
Yote haya ni post za wewe tu.
Big Up Kijana. Opps Babu.
 
Post zako zinanifurahisha saana
Post zako zina busara saana
Natamani brain yako iwe yangu.
Yote haya ni post za wewe tu.
Big Up Kijana. Opps Babu.

Laiti ungejua nilivovimba mbichwa...lol
Unaweza kunipata kwenye PM pia.

Nashukuru sana DaMie..... Babu yangu alinambia ni heri umfurahishe mtu kwa maneno matamu kuliko kwa pesa nyingi....kwa sababu pesa yaweza kuisha, lakini maneno huwa hayaishi.
 
Ha ha ha, babu Asprin njoo huku, ila linda moyo usije ukagongwa.
 
Huyu Babu yangu ana busara sana sema tunagombana naye tu, pale nikimwambia nataka kuoa nyumbani kwake basi anakuwa mkali kweli juzi almanusura aniitie polisi alipoona natoka kwake.

BABU JANA ULIKUTA KIBUA, WALI NA MAZIWA YA MGANDO
 
Thx Damie. Hata mie nilijiunga JF kutokana na Busara za Babu Asprin

Sikuwahi kujua haya mapumba nayoyamwaga humu, kwa wengine ni busara...lol

Ahsante my love loveness love.

Naruhusiwa kukuomba urafiki?..... natamani, tatizo kuna watu wana wivu bana!
 
Bip up babu yaani ndo umeamka tu wajukuu wako tayari na full misifa juu yako. Kweli huwa unabamba uendelee kubarikiwa mpaka ushangae
 
Kiukweli sijajaribu ila naona napaswa sasa
Naisubiria kwa hamu...utatuma lini vile?
Ha ha ha, babu Asprin njoo huku, ila linda moyo usije ukagongwa.
Hahahaha....kugongwa na TV, AC au Ukuta?

Huyu Babu yangu ana busara sana sema tunagombana naye tu, pale nikimwambia nataka kuoa nyumbani kwake basi anakuwa mkali kweli juzi almanusura aniitie polisi alipoona natoka kwake.

BABU JANA ULIKUTA KIBUA, WALI NA MAZIWA YA MGANDO
We kijana, naona unamtafutia babu wa watu ubaya! Mabinti zangu hata kubalehe bado, we unataka kuwachakachua na ten sauzend yako!..........C.R.A.P!!
 
Bip up babu yaani ndo umeamka tu wajukuu wako tayari na full misifa juu yako. Kweli huwa unabamba uendelee kubarikiwa mpaka ushangae

Umebakia wewe tu, wewe tu kumbamba babu mimi.
 
Laiti ungejua nilivovimba mbichwa...lol
Unaweza kunipata kwenye PM pia.

Nashukuru sana DaMie..... Babu yangu alinambia ni heri umfurahishe mtu kwa maneno matamu kuliko kwa pesa nyingi....kwa sababu pesa yaweza kuisha, lakini maneno huwa hayaishi.


Asante hayo maneno ndo nayataka kwa sbb najifunza. Nazidi kuona umuhimu wa JF na busara za Babu.
 
We kijana, naona unamtafutia babu wa watu ubaya! Mabinti zangu hata kubalehe bado, we unataka kuwachakachua na ten sauzend yako!..........C.R.A.P!!

Punguza ukali kwa The Finest babu. Kizuri kula na ndugu yako.
 
Punguza ukali kwa The Finest babu. Kizuri kula na ndugu yako.

Kuna kizuri na kizuri chenyewe na kuna ndugu na ndugu mwenyewe....Huyu Finest ni crap.... Mama Big ameshamharibu, sasa anataka kuniharibia mabinti zangu. NO WAY! Aende akachakachue wa FL1 kule Makambako.
 
Sikuwahi kujua haya mapumba nayoyamwaga humu, kwa wengine ni busara...lol

Ahsante my love loveness love.

Naruhusiwa kukuomba urafiki?..... natamani, tatizo kuna watu wana wivu bana!


Babu busara zako tunazithamini sana,
Hii hapa inanifanya nizidi kukuthamini:

Makwenzi kwa watoto, Ngumi kwa wakubwa:israel::israel::israel:
Kunywa bia .....maji yana bakteria!!
 
Post zako zinanifurahisha saana
Post zako zina busara saana
Natamani brain yako iwe yangu.
Yote haya ni post za wewe tu.
Big Up Kijana. Opps Babu.

Jaribu kumcheck PM akague kabisa
 
Sikuwahi kujua haya mapumba nayoyamwaga humu, kwa wengine ni busara...lol

Ahsante my love loveness love.

Naruhusiwa kukuomba urafiki?..... natamani, tatizo kuna watu wana wivu bana!

Usijali nitakuPM kwa suala la urafiki, wivu kawaida ndo tushindwe kuwa marafiki bana. Sio pumba babu brain iliyotulia hiyo.
 
Weweeee!
Yaani kukukaribisha kooote kule kwa mashamsham, bado hukutambua busara zangu!...Kweli isiyo riziki Hailiki!

Tatizo PJ unakaribisha na "busara" zako za Mkono mtupu haulambwi......

Wenzako tunakaribisha kwa bakuli la maneno matamu yenye mahaba ya kibabu..........
 
Back
Top Bottom