Anae ponda nanikwani hawa jamaa hawajawai ona kitu chochote kizuri kuhusu kenya...kila siku kuponda
Unafurahia upuzi !!Kenya's economy is worth $73billion.... Thank you Ndii for the notification....
I'm in cloud 9.
Huyo wenu hahitaji machafuzi miezi sita na bado anayumba.mpe miaka kadhaa na mtamtamani kikwete.huyu ni uganga ndio anaweza.unataka source? kuna Mkenya kaandika makala Economist akijaribu kumchafua Magufuli akakataa kuweka jina kwa aibu! So low of u people! na wivu....😀
When will your country make it to that??Unafurahia upuzi !!
Unajidanganya kisha unachekelea
Hehehe $73bn kirahisi rahisi du!
Well, you will.
According to your "trusted" author,Mr. Ndii.
3% of Kenya's economy is roughly 220billion
Which is equal to $2.2billion.
So, simple calculation 100% will be $73.33' billion.
That Kenya's economy...and growing.
keep dreaming Kenya economy is even not at $60 bln! try to understand what he wrote and come up with assumptions!