Feld Marshal Tantawi
JF-Expert Member
- Dec 24, 2014
- 655
- 1,069
Ina legeza uume.Wakuuu hongeren kwa mapambano ya kujenga taifa
Nataka jua faida ya ndimu ya unga na pia kama inaweza kuwa na madhara pia
Na je ina virutubisho sawa na ndimu za kawaida
Na je ina madhara yoyote kwa mwanaume hasa kwenye suala la utendaji kaz kwa via vya uzazi wa mwanaume
Naomben wataalam wa afya muweze kutuwekea sawa hili na pia watu wa tiba asilia
Naomba kuwasilisha
Hear say ama scientific proveIna legeza uume.
Daaaa hatar snUkitaka mwanaume aache kutumia bidhaa au chakula au dawa yoyote ile wewe mwambie inapunguza uume au nguvu za kiume au kuufanya tepetepe...atakimbia bila kugeuka...