Wild Thoughts
JF-Expert Member
- Mar 17, 2019
- 562
- 990
Nilitaka kuuliza hili swali....kila siku tunaona wakina mond wanaswampa hadi bahrain na korea kupiga show ila huyu bingwa simuoni naona anakula matunda sijui kapanda wapiHivi mbona simuonagi anafanya show... Au ana biashara gani
Hahahah mkuu mji wenu huo wa dar una mambo mengi sanaNilitaka kuuliza hili swali....kila siku tunaona wakina mond wanaswampa hadi bahrain na korea kupiga show ila huyu bingwa simuoni naona anakula matunda sijui kapanda wapi
Madogo wanahalalisha uthenge kwa nguvu zoteHahahah mkuu mji wenu huo wa dar una mambo mengi sana
Madogo wanahalalisha uthenge kwa nguvu zote
Sikuachi nyau wwNiache
Unatongoza dume mwenzioMambo bebi
[emoji23][emoji23][emoji23]Sikuachi nyau ww
[emoji23][emoji23][emoji23]Unatongoza dume mwenzio
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Inna you are really making my day
Niache stakiSikuachi nyau ww
Wewe.Unatongoza dume mwenzio
godfather wake wa ile biashara.......joho ukiondoa issue za politics, ni dealer mkubwa sana wa ile biashara hapa EA.Hii kapewa na joho wa Kenya mombasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]we nenda tu pm tutajua kifuatacho itvWewe.
Huyo ni dume kumbe? Sasa kaweka maua ya nini? Yaki
[emoji849][emoji849]Acha izo we Dada unanifanya kila ck ni-log in. JF
Dimpoz hana uwezo wa kununua hiyo gari...
Hata ahongwe vipi hawezi kuhongwa hiyo gari...
Dimpoz hata ajibane kwa mwaka mzima bila kufanya matumizi yoyote hawezi kununua rim ya hiyo gari..