Mnyama simba ameliwa usiku usiku kimya kimya , baada ya kukubali kichapo cha 3-1 kutoka kwa waarabu wa morocco Raja casablanca😂😂, ila simba heshima yake apewe tu kwa hatua hiyo aliyopo, swali la kujiuliza ni kwamba kuna muelekeo wowote wa matumaini katika hatua anayoifuatia au ndio tukutane msimu ujayo kuianza safari upya?