Simba lunyasi
JF-Expert Member
- Sep 28, 2022
- 385
- 840
Mpira wa miguu mara zote unatakiwa kushinda Mechi zako halafu unasonga mbele. Haya mambo ya kushindwa kushinda mechi zakot halafu uanze kuombea wengine wafungwe ni uchawi tosha.
Ushauri wangu tuwekeze nguvu zetu Azam federation cup huko ndiko kwenye matumaini hai ya kuondoka na kombe vinginevyo na huu mwaka tutaondoka kapa
Ushauri wangu tuwekeze nguvu zetu Azam federation cup huko ndiko kwenye matumaini hai ya kuondoka na kombe vinginevyo na huu mwaka tutaondoka kapa