Simba lunyasi
JF-Expert Member
- Sep 28, 2022
- 385
- 840
Yanga alisubiri miaka mi4, nyie miwili tu mshachokaMpira wa miguu mara zote unatakiwa kushinda Mechi zako halafu unasonga mbele. Haya mambo ya kushindwa kushinda mechi zakot halafu uanze kuombea wengine wafungwe ni uchawi tosha...
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]Subilini ubingwa wa mashindano ya uchawi hapo hamna mpinzani[emoji119]