Ndio kwanza Januari 2, ila huu mwaka bora uishe tu

Ndio kwanza Januari 2, ila huu mwaka bora uishe tu

TAI DUME

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2014
Posts
9,748
Reaction score
26,238
Nilikuwa nausubiri sana huu mwaka 2025 coz ilikuwa Aprili niende abroad kwa masomo ya juu zaidi kwangu. Lakini leo nimepokea taarifa kwamba ufadhili wangu huo umesogezwa mbele ni mpaka mwakani.

Huu ufadhili nimeusubiri kwa mwaka mzima na ndio ilikuwa achievement yangu ya 2025.

Na wewe umepigwa na kitu kizito kilichopelekea kutamani huu mwaka uishe? Shea na sisi hapa tufarijiane.
 
Mimi mwakajana.....

Saa hz nipo tuu kama sipo..... Lolote kama mbwai iwe mbwai
 
Mzee sembuse Kuna bulungutu la ela utaliokota February, umeanza kukata tamaa doh
 
Back
Top Bottom