Majibu yako yanaonyesha unafanya kazi ya ususiHuoni kama nina pete kidoleni
Kama ni mwanaume halafu unajiita cute basi tunakuondoa humu hatufagilii ushogaHabari zenu wadau
Mimi ndio nimejiunga na jukwaa msianze kuniuliza jinsia tukizoeana tutajuana vizuri huko mbele
Aksante sana kwa msaada wakoKaribu jf pitia hapa upate mwongozo
https://www.jamiiforums.com/index.php?threads/1302776/
ID yako ya zamani ulikuwa unajiitaje?Habari zenu wadau
Mimi ndio nimejiunga na jukwaa msianze kuniuliza jinsia tukizoeana tutajuana vizuri huko mbele