kama kawaida ndugu si waliingia mikataba ya kifsadi ,kwani si sheria zitawalinda kwani ndio makubaliano ati ,lakini sielewi jinsi walivyoshinda hizo zabuni za kuendesha Ubungo na Maegesho,sintashangaa kuwa hawa jamaa walipewa na mkulu aliyepita kwani hakuna waliposhindanishwa na kukosa Mtoto wa Mkuloma kushtuka mzee wa kilwa angekuwa anazidi kupeta,huyo mzee ndio mjamaa ati,kavaa viatu vya baba wa taifa,ama kweli Banza Stone aliimba Fainali Uzeeni