Ndio najua leo kuwa bado kuna makabila Tanzania bara ukioa nje ya kabila unategwa na ukoo!

Ndio najua leo kuwa bado kuna makabila Tanzania bara ukioa nje ya kabila unategwa na ukoo!

NetMaster

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2022
Posts
1,454
Reaction score
4,925
Katika story za jioni baada ya kazi leo hii nimejifunza kitu kigeni nanyi ningependa kuwashirikisha.

Amini usiamini hadi sasa kuna makabila watu hulazimika kuoana wao kwa wao si kwa kupenda bali ni kuogopa kutengwa na ukoo.

Moja ya kabila hili ni Wasafwa, ni kabila kubwa Mbeya kwa kuwa na idadi ya watu wengi ila sababu kuu halivumi kwasababu ya kuwa nyuma kielimu, kiuchumi na kisiasa.

Hali ilivyo huko tamaduni zinaendelea za kuoana wao kwa wao, ndoa nje ya kabila huko ni kujitafutia kutengwa na ukoo!
 
Hata wakurya hiyo tunayo sana, ila ujinga ujinga tu....! Tunabaguana wenyewe kwa wenyewe wakati binadamu ni wale wale tu haijalishi anatokea wapi
Wakurya hawana noma, labda zamani huko kipindi ambacho kila kabila kwao walioana wao kwa wao.

Ukitaka kujua kabila wanapenda kuoana wao kwa wao unaweza gundua kwamba hawapendi hata kutoka nje ya mikoa yao wanapenda kuishi sehemu zao za makabila, kwa wakurya wengi tu wamekuja Dar, nasikia hadi kuna mitaa wamejazana kama ilivyo kimara kwa wachaga.
 
Hizo mila ndo zilisababisha ndoa zao zikadumu ninyi mnaziita za kizamani. Hivi kweli mtu aliyekulia Njombe mbena huyo aje awezane na Mchaga wa Marangu.

Pamoja na mambo mengine huu muingiliano wa makabila yenye tamaduni tofauti ndo umesababisha suala la ndoa liwe changamoto
 
...Kuna jirani yangu toka hilo kabila amezaa na mwanamke wa kabila Lengine huwa haendi na mkewe kwenye sherehe au misiba ya ndugu zake huko Kijiji kwao Mbeya, inawezekana hii ndio sababu!

Ila jamaa ana Imani za ushirikina na roho ya kwa nini kinoma (akipata mwingine anasonononeka kisha anakosa raha kabisa) Sasa sijui ni Kwa wote au la!
 
Ndio maana wakurya wangi wajinga sana, kila saa wamefura kama vifutu.
Kuna kitu wakurya walikufanya, sio bure!


By the way, Wakurya tumechangamana na makabila mengi sana. Unafikiri huko ukonga na Kitunda tulifuata nini?

Dada zenu pia wanatupenda sana. Ukisikia "tall, dark and handsome" ujue tunazungumziwa sisi. Typical alpha male!
 
...Kuna jirani yangu toka hilo kabila amezaa na mwanamke wa kabila Lengine huwa haendi na mkewe kwenye sherehe au misiba ya ndugu zake huko Kijiji kwao Mbeya, inawezekana hii ndio sababu!

Ila jamaa ana Imani za ushirikina na roho ya kwa nini kinoma (akipata mwingine anasonononeka kisha anakosa raha kabisa) Sasa sijui ni Kwa wote au la!
Wale watu wabinafsi mnoo mnoo
 
Kuna kitu wakurya walikufanya, sio bure!


By the way, Wakurya tumechangamana na makabila mengi sana. Unafikiri huko ukonga na Kitunda tulifuata nini?

Dada zenu pia wanatupenda sana. Ukisikia "tall, dark and handsome" ujue tunazungumziwa sisi. Typical alpha male!
Sinaga shida nao kabisa, niko nao na huwa nawachana tunaishia kucheka
 
Waha wa Kigoma, hawa watu ni takataka kabisa. Wanaendekeza mila za kuoana wao kwa wao nadhani kwa Tanzania wanaongoza.
 
Wakurya hawana noma, labda zamani huko kipindi ambacho kila kabila kwao walioana wao kwa wao.

Ukitaka kujua kabila wanapenda kuoana wao kwa wao unaweza gundua kwamba hawapendi hata kutoka nje ya mikoa yao wanapenda kuishi sehemu zao za makabila, kwa wakurya wengi tu wamekuja Dar, nasikia hadi kuna mitaa wamejazana kama ilivyo kimara kwa wachaga.
huko wanakokaa wakurya wanaishi kama bado wapo tarime in short wamehama location tu ila tamaduni zao bado zilezile
 
Back
Top Bottom