kinyume na hilo IT IS OKAY!cha muhimu asijue wala asisaspektiHiyo haipo katika rules....ndo katiba yenyewe.
Unajua kinachomuuza sana huyu victims? Sio kile kitendo chenyewe ila ni mahali (nyumbani) na mhusika (binamu)!
tena na mtoto wa mjomba 9sijui mjomba wa nani sasa bt it doesnt make any difference to me)2 b honest with u! nimefurahia kaona maisha ya ndoa, mana alikuwa hajayaona/anayackia kwa mbali, sasa kimemfika, ndio unaambiwa mcba uckuie kwa mwenzio uckufike...wa kwetu walikuwa wanafanyia hukooo mbali, yeye kakuta ndani kwenye kasofa kake.
nipe kama dakika 20 hivi.....................!heu nikumbushe hicho kitu labda nakisahau...mambo kusaidiana.
BHT am sober.....and its bothering me!
Hiyo haipo katika rules....ndo katiba yenyewe.
Unajua kinachomuuza sana huyu victims? Sio kile kitendo chenyewe ila ni mahali (nyumbani) na mhusika (binamu)!
hahaaaaaaaaaaaaaaaa nimecheka ile mbaya, siku hizi wwe utakuwa una tatizo smwea smhw haki ya nani vile!!!it looks like kuna kitu kikubwa sana unataka kukielezea lakini naona ni kama ''you are still looking for a way to put it''
tena na mtoto wa mjomba 9sijui mjomba wa nani sasa bt it doesnt make any difference to me)
Natamani huyo Wifi yako angekuwa mke wangu-yaani ni mungwanna tu-license katoa" bora angetafuta mwanamke mwingine", kasahau binamu kinyama cha hamu!jana asubuhi alikuwa analia anasema haamini kama mume wake alishindwa hata kutafuta mwanamke mwingine huko nje mpaka afanyie ndani, tena na ndugu yake""siamini kabisa kama (fulani)kanifanyia hivi...lakini ameteleza tu"...yaani analia na kujifariji mwenyewe.
ni yeye aliekuwa natuambia kaka zake wanatu cheat coz sisi wake zao hatuwa handle/wajali kama inavyopaswa ndio mana wanatoka nje, yeye mume wake hawezi kutoka nje coz anampa kila kitu anachostahili kupewa na mkewe ""mie huwa nashangaa sana kila wakati mkalalama kaka zangu wana cheat, kwanini hamjiulizi why wanawa cheat ili mrekebishe tatizo?..mwanaume mwenye kujaliwa na mkewe hawezi kum cheat hata cku 1"...ni maneno ya kashfa ya mdogo wake na mr aliyokuwa anatuambia wakati kaka zake walipokuwa wanatufanyia maruwe ruwe... huwa anasema mume wake ni kwa ajili yake tu, na kila binadamu anaewajua huwa wanajua kwamba wao wawili wameumbwa kwa matumizi ya wao wawili tu, ni j5 nimefika home ucku, cm ya mr inaingia mtu anash2ka kuambiwa dadake yupo I.C.U.... ni kwamba alikuwa safari kikazi dar, nia yake arudi kwake arusha kwa kum surprise mumewe, kafika home kaingia sitting room kamkuta mume na binti anaemsaidia kazi hapo home (ni binti wa mjomba wake kabisa) wapo dunia nyingine, kabisa, wifi alipiga yowe na kuzirai hapo hapo, kakimbizwa Selian hosp muda mfupi kahamishiwa I.C.U...alhamic nilifunga safari kwenda kumuuguza coz mama mpaka atoke shy, maendeleo sio mabaya jana katolewa I.C.U, asubuhi nilimcal mke wa mdogo wake mr ambae ndio anamwangalia kwasasa akasema mambo sio mabaya, kilichonishangaza ni jana asubuhi kaamka vizuri na kuanza kutuomba hayo mambo yaishie kifamilia hataki ma colleague/majirani wajue hilo jambo coz hawatamuelewa na wanajua mr wake ni mwema/safi kabisa na hata hivyo juzi ameteleza tu"... mr jana ndio kajitokeza hosp binti hajulikani alipo, mke anasema bado anampenda sana mumewe, mama amefika jana anasema hataki mtoto wake arudi kwenye hiyo ndoa, makaka wanatutolea macho tu, wakati wenzie ndio tumemaliza misuko suko kama hiyo yeye ndio anaianza tena kwa vibaya kabisa, unaingia moyoni kwa mtoto wa mwanamke mwenzio ukiwa umevaa kandambili mchezo? .....nitarudi.
The truth spoken...if i got cheat itakuwa sehemu zote lakini sio home....
Hiyo ni rule namba ngapi ya infidelity?
Hiyo haipo katika rules....ndo katiba yenyewe.
Unajua kinachomuuza sana huyu victims? Sio kile kitendo chenyewe ila ni mahali (nyumbani) na mhusika (binamu)!
kinyume na hilo IT IS OKAY!cha muhimu asijue wala asisaspekti
Natamani huyo Wifi yako angekuwa mke wangu-yaani ni mungwanna tu-license katoa" bora angetafuta mwanamke mwingine", kasahau binamu kinyama cha hamu!
Nyamayao.... hiyo dunia nyingine ndiyo ipi??? mbona mie najua hakuna jipywa kwenye kale ka-mchezo??? au wifi aliona vya ziada??
JD alisema usiusemee moyo... she was danm right aisee
Mpe pole wifiyo... halafu mkumbushe maneno yake kuhusu kujua kutunza mwanaume!!!![/QUOTE]
De...nikimkumbusha huyu atarudishwa tena I.C.U wacha nimuache tu dunia imeshamfunza, aliwakuta kwenye style murua ya kwenye sofa ambayo yeye hajawahi kumpa mr wake ndio mana yakatokea yaliyotokea.....
And here comes conclusion: INFIDELITY IS THERE TO STAY......
huko kwa baba yao walizaliwa mseto mseto, ikawa huyo ni mtoto wa shangazi na mjomba, huyo binti alilelewa kwa kina mr tangia akiwa mchanga, mama yake alifariki ndio baba akamchukua, so ni mtoto wa nyumbani kabisa.
...and successful only in invisible mode!!!
Once exposed, you are doomed!!!
Mmmh,mbona story haieleweki vizuri? au uandikaji wako?
hapo kinachomuumiza ni hakutegemea kama mume amemtenda, pili tena na ndugu yake....heeee.