ndio ndoa hizi

Hiyo haipo katika rules....ndo katiba yenyewe.
Unajua kinachomuuza sana huyu victims? Sio kile kitendo chenyewe ila ni mahali (nyumbani) na mhusika (binamu)!
kinyume na hilo IT IS OKAY!cha muhimu asijue wala asisaspekti
 
2 b honest with u! nimefurahia kaona maisha ya ndoa, mana alikuwa hajayaona/anayackia kwa mbali, sasa kimemfika, ndio unaambiwa mcba uckuie kwa mwenzio uckufike...wa kwetu walikuwa wanafanyia hukooo mbali, yeye kakuta ndani kwenye kasofa kake.
tena na mtoto wa mjomba 9sijui mjomba wa nani sasa bt it doesnt make any difference to me)
 
heu nikumbushe hicho kitu labda nakisahau...mambo kusaidiana.
nipe kama dakika 20 hivi.....................!
naperruuuuuzzzzzzzzzz na kudadissssssssssssss ASTE ASTE!
be back shortly
 
Hiyo haipo katika rules....ndo katiba yenyewe.
Unajua kinachomuuza sana huyu victims? Sio kile kitendo chenyewe ila ni mahali (nyumbani) na mhusika (binamu)!

na binamu yupo makini kweli kweli...alikuwa hataki mtu zaidi ya ndugu akijua usalama upo 100%.....jana niliwaambia kaka zake kwamba hiki kitendo watakuwa walikianza cku nyingi sema bahati mbaya ndio yametokea ya kutokea(nilitaka kuwaumiza zaidi)
 
it looks like kuna kitu kikubwa sana unataka kukielezea lakini naona ni kama ''you are still looking for a way to put it''
hahaaaaaaaaaaaaaaaa nimecheka ile mbaya, siku hizi wwe utakuwa una tatizo smwea smhw haki ya nani vile!!!
 
tena na mtoto wa mjomba 9sijui mjomba wa nani sasa bt it doesnt make any difference to me)

huko kwa baba yao walizaliwa mseto mseto, ikawa huyo ni mtoto wa shangazi na mjomba, huyo binti alilelewa kwa kina mr tangia akiwa mchanga, mama yake alifariki ndio baba akamchukua, so ni mtoto wa nyumbani kabisa.
 
Natamani huyo Wifi yako angekuwa mke wangu-yaani ni mungwanna tu-license katoa" bora angetafuta mwanamke mwingine", kasahau binamu kinyama cha hamu!
 
Hiyo haipo katika rules....ndo katiba yenyewe.
Unajua kinachomuuza sana huyu victims? Sio kile kitendo chenyewe ila ni mahali (nyumbani) na mhusika (binamu)!


vyote pa1...
 

Nyamayao.... hiyo dunia nyingine ndiyo ipi??? mbona mie najua hakuna jipywa kwenye kale ka-mchezo??? au wifi aliona vya ziada??

JD alisema usiusemee moyo... she was danm right aisee

Mpe pole wifiyo... halafu mkumbushe maneno yake kuhusu kujua kutunza mwanaume!!!!
 
The truth spoken...if i got cheat itakuwa sehemu zote lakini sio home....


Hiyo ni rule namba ngapi ya infidelity?


Hiyo haipo katika rules....ndo katiba yenyewe.
Unajua kinachomuuza sana huyu victims? Sio kile kitendo chenyewe ila ni mahali (nyumbani) na mhusika (binamu)!

kinyume na hilo IT IS OKAY!cha muhimu asijue wala asisaspekti

And here comes conclusion: INFIDELITY IS THERE TO STAY......
 
Natamani huyo Wifi yako angekuwa mke wangu-yaani ni mungwanna tu-license katoa" bora angetafuta mwanamke mwingine", kasahau binamu kinyama cha hamu!

hapo kinachomuumiza ni hakutegemea kama mume amemtenda, pili tena na ndugu yake....heeee.
 
 
huko kwa baba yao walizaliwa mseto mseto, ikawa huyo ni mtoto wa shangazi na mjomba, huyo binti alilelewa kwa kina mr tangia akiwa mchanga, mama yake alifariki ndio baba akamchukua, so ni mtoto wa nyumbani kabisa.

dah uchafuzi a mazingira kabisa aisee!!
 
unajua nini...
ngoja kwanza.......!ngoja kidogo
 
Infidelity is not here to stay....Jeeeeeeeeeez..😡 hii kitu ndio inasambaratisha family na kuongeza chuki mie sikubaliani nayo!!! swali kwa wanawake tuu utaishi vipi na mwanaume anaye cheat repeatedly? yani kama huyu mammi atarudi vipi kuwa na normal life na mume wake?
 
...and successful only in invisible mode!!!

Once exposed, you are doomed!!!

The Following 2 Users Say Thank You to De Novo For This Useful Post:

Asprin (Today), Teamo (Today)​


Kiongozi naona kiu ya Johnie Walker imeshakatika..
 
Mmmh,mbona story haieleweki vizuri? au uandikaji wako?

Mbona inaeleweka sana 2. Kwamba wifi yake alikuwa mstari wa mbele kumtetea jamaa yake. Lakini amemfumania akila tunda na binamu yake. Roho imemuuma mpaka akalazwa, alivyoshtuka amewaambia watu waliokuwa wakimuuguza wasiitoe hii aibu nje ya familia. Wewe haujaelewa nini kaka?
 
hapo kinachomuumiza ni hakutegemea kama mume amemtenda, pili tena na ndugu yake....heeee.

Tatizo lake alijiamini sana pia aliamini yeye tu ndio anajua kutunza mme ..wengine wanachezea ndoa zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…