The Following 2 Users Say Thank You to De Novo For This Useful Post:
Kiongozi naona kiu ya Johnie Walker imeshakatika..
aisee ile kiu bado.... jana nimejaribu jack daniel, nikaona kama nakunywa karafuu tu aisee....
GADEMU!!!
BACK TO THE TOPIC, HAKUNA NDOA PERFECT NA HUYO DADA AMEJIFUNZA KWA VITENDO... NANI ALIMWAMBIA MWANAUME WA KIAFRIKA ANAPEWA SURPRISE??
kweli huwezi gurantee na binadamu yeyote hawezi kuwa perfect or sinless, never the less deep inside u still expect him to be faithful...Wifi lazima azirai!
Hakujua Kama mwanamme usimpe guarantee! Lol
wazee wa zamani hawakukosea.... Usirudi kwaki usiku na hakikisha unatoa taarifa ya ujio wako mapema
Recently kumezuka tabia ya kuhalalisha sana kutoka na waume za watu au wake za watu. Tena bila aibu majigambo ya hao wagombea wenza ni kama, aah, yule anajuta kuoana na yule mwanamke/mwanaume, au hampendi basi tu kwa kuwa ni ndoa. au kwa mkewe/mumewe haridhishwi, au anaishi nae tu kwa ajili ya watoto, na mengine mengi mwaweza kuongeza. Lakini cha kunishangaza mie ni kwamba, inakuwaje mume wa mtu anakuja na kukwambia simpendi mke wangu ila wewe, na binti unaamini kabisa wakati kumuacha mkewe hamuachi ila anafanya kwa kificho? the same kwa wanawake wanaocheat kwa kisingizio simpendi mume wangu wakati unaishi nae kila siku. Mi nadhani ifike mahali tuukubali ukweli kwamba mke/mume wa mtu ndie the first one no matter what, hata ukiwa unatoka naye ujue ana familia na ukweli ulio wazi ni kwamba kwa nyumba ndogo anachofata ni 20% na 80% ziko kwa nyumba kubwa. Na mara zote ni wachache sana wanaokubali kuacha 80% na kufata 20%. So ukiwa unatoka na mume au mke wa tu ujijue we ni mshka pembe so no need to boost. au kwa ufupi kipoozeo. Tafakari na chukua hatua.
waungwana.....
naomba tujikumbushe kidogo hii thread:
enewei kwa referrence zaidi naomba UBONYEZE HAPA
HAHAHAHA!ngoja niji-burekishe kwanza aisee!!!
Kuna mmoja hapa ofisini mjuaji huyo,anadai alikuwa makini sana kwenye kuchagua.ndo wanaozimiaga hawa au kuvua nguo watembee uchi!
Mie simkanii baba yangu wala the pope himself!Pole wifi mtu!uguza hapo ujiongezee credit!
HAHAHAHA!
hahahahahahahahahahahah!
maji yamezidi unga
waungwana.....
naomba tujikumbushe kidogo hii thread:
enewei kwa referrence zaidi naomba UBONYEZE HAPA
hahahahahahah!hata uji haufai hapo.........itatokea kitu ingine kabisa!!
mwanga wa milele apewe carmel...........!lolmpwa mpwa...mwache carmel apumzike:fish2:
Infidelity is not here to stay....Jeeeeeeeeeez..😡 hii kitu ndio inasambaratisha family na kuongeza chuki mie sikubaliani nayo!!! swali kwa wanawake tuu utaishi vipi na mwanaume anaye cheat repeatedly? yani kama huyu mammi atarudi vipi kuwa na normal life na mume wake?
noname, maisha hayawezi kuwa normal tena kwa huyu, wanaanza maisha mapya na anajifunza kuishi na cheater! namwonea huruma huyu wifi kajifunza maisha ya ndoa too late!
mwambieni mwenzenu ukweli kwamba IT IS INEVITABLE CASE......!noname, maisha hayawezi kuwa normal tena kwa huyu, wanaanza maisha mapya na anajifunza kuishi na cheater! namwonea huruma huyu wifi kajifunza maisha ya ndoa too late!
Mbona inaeleweka sana 2. Kwamba wifi yake alikuwa mstari wa mbele kumtetea jamaa yake. Lakini amemfumania akila tunda na binamu yake. Roho imemuuma mpaka akalazwa, alivyoshtuka amewaambia watu waliokuwa wakimuuguza wasiitoe hii aibu nje ya familia. Wewe haujaelewa nini kaka?
hahahahahahah!
una mkataba gani na mbavu zangu?
:bounce::bounce::bounce::bounce::bounce::bounce::bounce::bounce::bounce::bounce:
Kuna mmoja hapa ofisini mjuaji huyo,anadai alikuwa makini sana kwenye kuchagua.ndo wanaozimiaga hawa au kuvua nguo watembee uchi!
Mie simkanii baba yangu wala the pope himself!Pole wifi mtu!uguza hapo ujiongezee credit!