hicho kiliwauzi sana kaka zake, lakini hawana la kufanya, juzi alivyozinduka akauliza jamani nipo wapi na nafanya nini? mke mwenzangu akamjibu"" upo hosp unamfumania baba nanilii lakini hujaukubali ukweli""...haaa ilibidi nitoke nje kwanza...
Yaani wewe kati ya wanawake naowakubali humu wewe ni namba 1. Unaujua ukweli na unausimamia. Mme wako ana bahati sana. leo ukirudi nyumbani mpigie makofi matatu. Mkilala mbarikiwe upate mimba ya mapacha. Sema AMINA.
hahahaha!
TATIZO LAKO WE UNAJUA HAPO UTAKUTANA NA penakode...!
hiyo hiyo confessions na denials ndo nilitaka uone,na uone waliochangia na uilinki na hii sredi
kati kati ya mstari sasa....!heheheheheh!
''...TULIFURAHI PAMOJA,TUKATESEKA PAMOJA,NA TUTASHINDA PAMOJA...''
hahaaaa me by now kwishnei kabisa wala sitanii!!! huwa napata mawenge hata nikihisi tu naibiwa........mpka naendesha kwa kihoro lol!!
Ngoja nianze kutabiri. Kwenye 81 wapo......Teamo, Asprin, Roya Roy, De Novo, Kaizer, Fidel,Bigirita,GP,Kimey,Maxence Melo, Maskini_Jeuri...............Duh mtapigwa ban nyie na familia zenu.....
127 ni total number of voters (81+46)
ratio ni 63.78% v/s 36.22%
Ngoja nianze kutabiri. Kwenye 81 wapo......Teamo, Asprin, Roya Roy, De Novo, Kaizer, Fidel,Bigirita,GP,Kimey,Maxence Melo, Maskini_Jeuri...............
Kwenye 46: FL1, Nyamayao, Charity, Carmel,Bht,Lily Flower,Preta,GS,JS,MJ1, Mom.Katerelo,Noname.............
Damn! sasa hiyo 63.78% inai nfidelatize na kina nani? Wanawake bana...........Haya bana!
sana tuuu...nilijua mengi sana nilivyopelekwa lunch...mwanaume c ndugu yako aisee.
Ndoa au mahusiano hayana ukawaida, na mbaya zaidi kusemea mioyo ya wenzi wenu! Mi nadhani hiyo haina tatizo, cha msingi mshkaji kama bado anampenda bibie warudi wasongeshe maisha yao, ilikuwa ni zoezi la kuchukua uzoefu toka kwa KUKU WA KIENYEJI!
Sijaelewa kitu.
ni yeye aliekuwa natuambia kaka zake wanatu cheat coz sisi wake zao hatuwa handle/wajali kama inavyopaswa ndio mana wanatoka nje, yeye mume wake hawezi kutoka nje coz anampa kila kitu anachostahili kupewa na mkewe ""mie huwa nashangaa sana kila wakati mkalalama kaka zangu wana cheat, kwanini hamjiulizi why wanawa cheat ili mrekebishe tatizo?..mwanaume mwenye kujaliwa na mkewe hawezi kum cheat hata cku 1"...ni maneno ya kashfa ya mdogo wake na mr aliyokuwa anatuambia wakati kaka zake walipokuwa wanatufanyia maruwe ruwe... huwa anasema mume wake ni kwa ajili yake tu, na kila binadamu anaewajua huwa wanajua kwamba wao wawili wameumbwa kwa matumizi ya wao wawili tu, ni j5 nimefika home ucku, cm ya mr inaingia mtu anash2ka kuambiwa dadake yupo I.C.U.... ni kwamba alikuwa safari kikazi dar, nia yake arudi kwake arusha kwa kum surprise mumewe, kafika home kaingia sitting room kamkuta mume na binti anaemsaidia kazi hapo home (ni binti wa mjomba wake kabisa) wapo dunia nyingine, kabisa, wifi alipiga yowe na kuzirai hapo hapo, kakimbizwa Selian hosp muda mfupi kahamishiwa I.C.U...alhamic nilifunga safari kwenda kumuuguza coz mama mpaka atoke shy, maendeleo sio mabaya jana katolewa I.C.U, asubuhi nilimcal mke wa mdogo wake mr ambae ndio anamwangalia kwasasa akasema mambo sio mabaya, kilichonishangaza ni jana asubuhi kaamka vizuri na kuanza kutuomba hayo mambo yaishie kifamilia hataki ma colleague/majirani wajue hilo jambo coz hawatamuelewa na wanajua mr wake ni mwema/safi kabisa na hata hivyo juzi ameteleza tu"... mr jana ndio kajitokeza hosp binti hajulikani alipo, mke anasema bado anampenda sana mumewe, mama amefika jana anasema hataki mtoto wake arudi kwenye hiyo ndoa, makaka wanatutolea macho tu, wakati wenzie ndio tumemaliza misuko suko kama hiyo yeye ndio anaianza tena kwa vibaya kabisa, unaingia moyoni kwa mtoto wa mwanamke mwenzio ukiwa umevaa kandambili mchezo? .....nitarudi.
acheni ndoa ziitwe ndoa!.....
mama kashanunua ugomvi, jamaa anasema mie nawackiliza wao lakini hakuna jipya nililofanya ambalo hata hao ndugu zake hawajawahi kulifanya, hapo mie ni coz nimefanya na ndugu na waniulize nilianzanaje na ndugu then nitawapa jibu...haaa nilibaki nimetoa jicho na hivyo nilikuwa nimepiga tusker za kucndikiza lunch haaaa.....
Tatizo ni kwamba wanawake huwa hawasemi ukweli kwenye mambo ya infidelity!! Unaweza kukuta anayebisha na kulaani sana infidelity anagawa shimo kama zawadi!!!kwani kwenye hiyo 63% hakuna wanawake??? basi ni wenyewe kwa wenyewe lol!!!