ndio ndoa hizi

kushtukizwa inauma sana bht ndio hivyo unaweza rest in peace lakini kama unajua yanatokea haitauma kihivyi japo inauma

watu mmekutana wazee na meno yenu 32 mnaanza kukaniana hawezi/hafanyi....kwa maisha haya?
 

Toba Yarabi huyu mwanaume anajiamini mbaya yake !!!!! alianzaje (yaani long time kitambo)

afu hapo napata picha nyingine huyo mke mwenzako ana tatizo pia
 
Mwanaume usimfanyie "surprise" Nimeshuhudia "surprise" nyingi zikiwa "surprised":
 
...hahaha!... utetezi mwingine bana, nakumbukia 'thread' ya teamo!
Ameteleza tu huyo Nyamayao, muombeeni msamaha.

haaa hata mie namuona kabisa kateleza...lol
 
Surprise unajikuta ICU, ana bahati kweli huyo bibie!

Mungu tunusuru, waume zetu tuwapende na kuwaombea whatever they are doing should remain to be a secret.
Thats my girlie....Nimekuzawadia hii kwa leo


The Following User Says Thank You to Caroline Danzi For This Useful Post:

Asprin (Today)​
 
aisee huyu baba ni mtaalamu hasa, keshapanga na majibu na anaona kosa lake moja kutoka na ndugu basi! bahati nzuri huyo mkewe keshayasamehe yote, aliteleza yani hataquestion chochote!

mama mtu kashanunua ugomvi, jana anamcal mamake na kijana kumwelezea, sasa nikajiuliza anamwelezea kitu gani wakati mama mkwe alishapigiwa cm na mwanae ucku huo ndio akaenda kulala nae hosp kabla wengine hatujafika...mama hataki kabisa kuamini kilichotokea, anataka vikao cjui nini na nini, mkaka anasema yupo tayari kwa lolote na mama mkwe wake anavyonunua kec ndio anazidi kumkacrisha kabisa,""mbona wanae wa kiume walikuwa wanawasumbua nyie na mama hakujali kwanini hii yangu aishike bango?""
 
Toba Yarabi huyu mwanaume anajiamini mbaya yake !!!!! alianzaje (yaani long time kitambo)

afu hapo napata picha nyingine huyo mke mwenzako ana tatizo pia

cjakupata hapo, tatizo gani mami?....anasema mke wake alijisahau sana na nyumba, mdada ndio alikuwa naaingia room kufanya usafi, anakuja amenivalia hivi na vile, na mke kakaa kwnye kochi anaangalia isidindgo, mdada ndio ampakulie na kumfanyia hivi na vile...yaani ni hizo hizo sababu zao wanazoziletaga wakishacheza rafu..hakuna jipya.
 

na kweli huyu mama kalishikia bango sana swala hili, nahc cku ya kikao hicho patakua hapatoshi, bora huyo wifi akamsihi mama yaishe atayahandle mwenyewe!
 

this is wat I saw....maana huyo bwana alivyotayari kuulizwa kumenipa picha kuwa ana sababu, amabyo ni kosa la mke ndio maana likwambia kwa jeuri anasubiri wamuulize!! lol visingizio
 

hapa ndio hua nasema kazi za housegirl zina mipaka chumbani kwangu no! na mr ajifunze kujipakualia kama sipo! nilishakutana na kisa hiki tena dada alikua anaishi na mdogo wake kwa mama mdogo, siku anakuja kugundua kuna uhusiano zaidi kati ya mume na mdogo wake ndivyo mume alivyojitetea ati kila kitu huyu mdogo ndio anafanya kuanzia kutandika kitanda mpaka kunipikia, kuniandalia nguo za kuvaa?
huyu wifi nae anashida!
 
We mke bora sana. Pale home housegeli haruhusiwi hata kugusa mlango wa chumbani kwangu. Waifu amekadhibiti asee. Na ni bora aendelee kukadhibiti manake kanavyozidi kukua ndio kanavozidi kuhamasisha infidelity!Mungu apitishe mbali!!
 
na kweli huyu mama kalishikia bango sana swala hili, nahc cku ya kikao hicho patakua hapatoshi, bora huyo wifi akamsihi mama yaishe atayahandle mwenyewe!

hapo tumewaachia wao wenyewe na maamuziyao, nimefurahi kwamba mdada akitoka hosp atatupa heshima yetu kama wake wa kaka zake, cha moto kashakiona.
 
hapo tumewaachia wao wenyewe na maamuziyao, nimefurahi kwamba mdada akitoka hosp atatupa heshima yetu kama wake wa kaka zake, cha moto kashakiona.
Nimeamini kweli adui mwombee njaa!
 

inaelekea upendo wake kwa mumewe ni mkubwa mno maskini, yaani haachi kumalizia kwa..'ameteleza tu'!! huyo mume angepata sekunde tu ya kumwambia mkewe kuwa shetani alimghilibu kabla hajazimia, hayo yote yasingetokea, coz bibiye angeamini na kusamehe pale pale!

Tunamtakia ahueni...
 

yeye ndio alikuwa anatuona cc tuna shida....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…