babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Roselyne ...............weekend njema mwaya......
(nasindikiza salam kwa wimbo ' waja na mnikome' ) 😀
Kucha hazilingani mama. Ndo maana hata wewe ulichagua mume.nadhani watu wengine humu wanatoaga comments tu ili mradi nao wame comment....
Kucha hazilingani mama. Ndo maana hata wewe ulichagua mume.
Sasa kama unaona sijaelewa si unieleweshe, mimi nimeelewa nilivyoelewa kama nimeleewa usivyotaka nielewe ni jukumu lako kuhakikisha naelewa unavyotaka nielewe.kidogo uwe unapitwa/uliza kama hujaelewa mtu anamaanisha nini....
Ulichotaka kukifanya, jaribu kusikia tu kuwa na Mkeo na alitaka kukifanya.. Itakuwaje?
its true FL1, hata oficin kwetu kuna jamaa anapenda totoz sana, anamuonyeshea wife live, na ana watoto 4 nje ya ndoa kwa mke 2, ndoa yao ina miaka 5na watoto wote wako btn age hizo na hajali familia yake, wife alipozidiwa alitoka nje kujifanyia service kidogo, siku alipogundua kwamba mkewe anamegwa varangati lake hapakutosha hapa kota alitaka kucharanga watu mapanga, ilibidi wahamishwe wakae nyumba za mbali mbali maana mmegaji alikuwa jirani na mfanyakazi mwenzetu pia.huwa wanaanguka na kuzimia kwa Presha kuna jamaa mmoja yeye anapenda sana totoz kwa kwenda mbele ..siku moja kijana mmoja akamtania wote wakiwa kwa ofisi na wife akiwa ametoka kidogo nimemuona mkeo kavaa pants nyekundu na kumbe ilikuwa kweli..jamaa alianguka akazimia:sick:
jana napiga mdogo mdogo joint ya karibu na home sasa akatokea shory mmoja nikamnunulia kilaji nikamwomba contacts si akang'aka ohhh wee umevaa ring umeoa...nikamwambia kweli nimeoa na nampenda sana mke wangu ila tamaa na matamanio yangu ya mwili ndio yananifanya ni-test utamu wa penzi lako yani ile kitu ya fastafasta..alikuwa kidoogo mgumu kunielewa ..ila hapa wadau hoja ya msingi ni kuwa "kwanini mabinti wanajibaraguzaaa ile kukubali kuwa mwanaume akioa sio mwisho wa matamanio kwa wanawake wengine??"..ndio nimeoa na nampenda mbayaaa mke wangu
nadhani watu wengine humu wanatoaga comments tu ili mradi nao wame comment....
Sasa kwa nini ulioa, wakati starehe hujamaliza, kha mie ndo maana mahusiano yamenishinda,
Hommie nimekusoma hapo, na avatar yako pia nimeiona!kuoa ni starehe pia...ambapo katelero ipo ndani yake...
kuoa ni starehe pia...ambapo katelero ipo ndani yake...
Hommie nimekusoma hapo, na avatar yako pia nimeiona!
kheee umejipangusa hadi ngozi B
who cares kidding