Hehehehehehe
Duh, hii kali kweli
Mkishamega jamani usiwatangazie rafikizo ooh anakatika kweli, oooh anakula koni ile mbaya, oooh
Jamani mengine tunajitafutia wenyewe
Sijui kama kitumbua kikubwa kina mvuto ....ninafikiri kuna mengi yaliyomvuta jamaa yako kule..............