Ndio wasomi wenyewe hawa..


Wewe nawe si ni mmoja wao hao wasomi bana....do something then...unaona kabisa mna tatizo lakini nini umefanya kurekebisha hilo tatizo zaidi ya kuja JF na kujirushia madongo? So you are a coward and hypocrite too? Wow....
 
Wewe nawe si ni mmoja wao hao wasomi bana....do something then...unaona kabisa mna tatizo lakini nini umefanya kurekebisha hilo tatizo zaidi ya kuja JF na kujirushia madongo? So you are a coward and hypocrite too? Wow....

Kulalamika pia ni sehemu ya kutatua tatizo, angalia natoa mafustrations na mastress au?
 
Kulalamika pia ni sehemu ya kutatua tatizo, angalia natoa mafustrations na mastress au?

Unachofanya wewe una vent mi frustrations yako. Hii ni kuweka band-aid (plaster) kwenye donda ndugu. Ukisha vent hapa unajisikia ahueni kidogo kwa muda mfupi halafu huyo unaenda zako UDASA kuzimua Safari na nyama choma siku inaisha. Sasa hapo unakuwa umetatua tatizo gani wakati tatizo kubwa lipo linabaki palepale?
 

Angalau nimeliponesha liroho langu-kuahirisha matatizo pia ni solution wakati nikisubiri mijitu mingine iamke!!
 
[I declare that I do have conflict of interests in this topic]

Though I do not have many facts on the ground, from the post inaonekana mbali na kutoshirikishwa kwenye maandalizi ya mgomo,
THTU haioni kwa nini wagome, kwa vile yale yote ambayo wanaweza kuyapata kwa njia ya mgomo, yanapatikana kwa njia ya mazungumzo.

Pia inabidi ujue kwamba there is no love lost between THTU na RAAWU -- kwa vile THTU ni kama 'splinter group' from RAAWU baada ya kuona kuwa na THTU kutakuwa ni suala lenye manufaa zaidi kuliko enzi za RAAWU. From the look of the things, RAAWU and TUCTA hawakufurahishwa na uamuzi huo, na hivyo kuiona THTU kama vile ni worker's union kambo.


1. THTU ilijiondoa RAAWU
kutokana na kutoridhishwa na hali halisi.
2. TUCTA is bitter that THTU and other organizations walked out of TUCTA affiliation.
TUCTA Acting General Secretary Nicollous Mganya said in a telephone interview that
3. Dr. Mtalo is one of highly intelligent persons and wazalendo halisi wa Tanzania. There is more to this mgomo than meet an eye. It is unfair to categorise Dr. Mtalo na wasomi wengine as 'wapuuzi' on basis of the posted story.

Regards,


Mlenge
 
Angalau nimeliponesha liroho langu-kuahirisha matatizo pia ni solution wakati nikisubiri mijitu mingine iamke!!

Mkuu kitila

hapo UDSM mmekaa kisiasa sana, nadhani hata maamuzi ya msingi kabisa mpaka Ikulu iweke mkono,
KWA HILO LA KUSUBIRI HAO JAMAAA WAAMKE MIMI NAONA NI NDOTO, HIYO MIJAMAA INAHITAJI KUAMSHWA, HAWAWEZI KABISA KUSHIRIKI KWENYE KITU CHOCHOTE AGAINST SERIKALI KWANI KILA MTU BAADA YA KUFIKIRIA RESEARCHZ ZA KUWAKOMBOA WATANZANIA, WAO WAKO BIZE KUSUBIRI VIMEMO KUTOKA KWA MKUU YA PROMISE YA UWAZIRI HIVYO AENDE KUGOMBEA UBUNGE (Ref: Mwandosya, Mbilinyi, Kapuya nk)

MKUU WANAHITAJI BOOSTER HAO ILI WAAMKE

NA MAENDELEO YA KWELI KWENYE HII NCHI YATAPATIKANA TU KAMA HAO JAMAA WAKIAMKA NA WAKIWA UPANDE WA WANANCHI
 
Tatizo la Tanzania ni vyama vya wafanyakazi havina nguvu kubwa sana ya vimekawanyika sana na kufanya kusiwe na kuhessive kubwa katika kudai madai na pia matatizo ya kumfumo ya uchumi na hata serikali. Hivyo kama hawa jamaa wanagoma na elimu ya juu pia walikuwa wanagoma kudai madai yao y msingi sana
 
Wameshindwa kugoma kumwokoa Baregu wataweza kugoma kuliokoa Taifa?
 
angalieni wenzenu huko Thailand.. na kwingine.. ndio maana nina uhakika kabisa hata akishuka malaika kuwaongoza Watanzania hawataenda popote..
 
Hapa Tanzania tofauti ya the so called msomi na asiye msomi hata siioni. Wote tu wababaishaji, waoga; na wapenda vioja na udaku.
 
Wengi ni wadesaji hapo sio wasomi. Ndio maana kutumia vichwa vyao kufikiria bado ni issue
 
Ndugu Kitila hivi tukizungumzia wasomi, cut off yake inaanzia wapi? Maana tunakuwa soo general. Nauliza hivi kwa sababu kuna mtu anasema wanataaluma salary zao zinaanzia six digit. Huu ni upotoshaji maana nafaham fika wenye degree moja (Ma TA) hawafiki kwenye hizo digit.
 
angalieni wenzenu huko Thailand.. na kwingine.. ndio maana nina uhakika kabisa hata akishuka malaika kuwaongoza Watanzania hawataenda popote..

With all due respect Sire.. if you do feel this way, why bother fighting?
 
With all due respect Sire.. if you do feel this way, why bother fighting?

when you are under attack the option not to is not an option; its a matter of survival. We sometimes fight now so that we don't have to fight in the future.
 
''kwingine.. ndio maana nina uhakika kabisa hata akishuka malaika kuwaongoza Watanzania hawataenda popote''
when you are under attack the option not to is not an option; its a matter of survival. We sometimes fight now so that we don't have to fight in the future.
Mzee.. hata sikuelewi.. hebu kuwa consistent kidogo... statement yako inaonyesha kama umekata tamaa ya mapambano....
 
''kwingine.. ndio maana nina uhakika kabisa hata akishuka malaika kuwaongoza Watanzania hawataenda popote''

Mzee.. hata sikuelewi.. hebu kuwa consistent kidogo... statement yako inaonyesha kama umekata tamaa ya mapambano....

sometimes I feel like that.. but its not a position of weakness, but a position of strength.. to understand your own weakness helps you to understand your strength. Kwa hali ilivyo sasa ni vigumu watanzania kufuata mtu ambaye anaweza kuwaongoza kuelekea mabadiliko. Huu ni ukweli wa kihistoria; we have become a docile bunch! Now, if everything remains the same it doesn't matter kama malaika atashuka na baragumu kwani mwitikio wa kwanza wa Watanzania utakuwa ni Je "ikulu watasema nini" na watasubiri CCM itoe maelekezo kama wanaweza kumuamini mjumbe huyo au la.

CCM ikisema "mpuuzeni huyo malaika" Watanzania watakumbatia hilo.
 

They say.."Never Underestimate the Power of Stupid People in Large Groups"...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…