Tetesi: Ndiyo Kusema Fao La Kujitoa Limerudishwa?

Tetesi: Ndiyo Kusema Fao La Kujitoa Limerudishwa?

CHA The GREAT

JF-Expert Member
Joined
Nov 11, 2010
Posts
651
Reaction score
854
Katika sehemu ya hotuba yake, Rais Magufuli alisema kuwa, utaratibu wa zamani kabla ya mifuko kuunganishwa uendelee kutumika mpaka 2023.

Je, hii ina maana kwamba hata lile fao la kujitoa ni ruksa au ikoje hii?
 
Back
Top Bottom