Usajili unamalizika kwenye jukwaa namba 3, utapinda kulia halafu kushoto halafu utateremka ngazi hapo utakutana na wageni wenzio wakisoma sheria taratibu na mambo kadha wa kadha ya namna ya kuenenda ndani ya jiji la JF, jiunge nao. Ukiiva karibia majukwaa mengine.