Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,641
Kama kuna Mechi ambazo zinaenda kuwa ngumu kwa Simba Sports Club ( ambayo hata Mimi Mzukulu ) naipenda na Kuishabikia basi ni hizi Kumi ( 10 ) zilizobaki na hasa hasa hii ya Leo na zile zingine Tatu ( 3 ) ambazo zote tutazicheza katika Uwanja wa Uhuru au pale kwa Mkapa.
Sina Shaka na Timu yangu na Maandalizi yake ila tokea Juzi Moyo wangu unakuwa mzito sana hasa kwa hii Mechi ya Leo dhidi ya Ruvu Shooting. Tukishinda basi itakuwa ni Furaha Kwangu na naamini hadi kwa wana Simba SC wote ila sijui ni kwanini kuna Hisia inaniambia Mchezo unaweza kuwa mgumu sana kwa Simba SC na hatimaye ikatoka Suluhu au Sare na hata Kufungwa kabisa.
Tupigeni mno Dua ila Mzukulu nina wasiwasi na Mchezo wetu huu wa Leo kwani umetukalia vibaya na hata Kinyota si Salama Kwetu.
Sina Shaka na Timu yangu na Maandalizi yake ila tokea Juzi Moyo wangu unakuwa mzito sana hasa kwa hii Mechi ya Leo dhidi ya Ruvu Shooting. Tukishinda basi itakuwa ni Furaha Kwangu na naamini hadi kwa wana Simba SC wote ila sijui ni kwanini kuna Hisia inaniambia Mchezo unaweza kuwa mgumu sana kwa Simba SC na hatimaye ikatoka Suluhu au Sare na hata Kufungwa kabisa.
Tupigeni mno Dua ila Mzukulu nina wasiwasi na Mchezo wetu huu wa Leo kwani umetukalia vibaya na hata Kinyota si Salama Kwetu.